DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Hiyo siyo mchezoLeo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
lazima awe na picha passport size 4 kwaajili ya kuweka profile picture, barua kutoka kwa afisa mtendaji na Atm card ya nmb bank. Alafu awe na marefa wanne ambao wamekuwa facebook for more than 3 years. Amesema
hataki tena kujiunga fb![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Saa hivi niko zangu kibarazani naendelea kupunguza uchovu sakafuni
πππππππLeo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
lazima awe na picha passport size 4 kwaajili ya kuweka profile picture, barua kutoka kwa afisa mtendaji na Atm card ya nmb bank. Alafu awe na marefa wanne ambao wamekuwa facebook for more than 3 years. Amesema
hataki tena kujiunga fb![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Saa hivi niko zangu kibarazani naendelea kupunguza uchovu sakafuni
Amesema bora hio hela apeleke kwenye vicobaWanatekeleza maangizo ya mganga ije kuwa haya. Subiri aje navyo halafu utampa kichekesho gani chengine.[emoji12]
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Na maisha haya sikutwa akaishia Tandale kwa wauza pombe za kienyeji. [emoji1] [emoji1]Amesema bora hio hela apeleke kwenye vicoba