Hongera MshangaziKatika pitapita zangu leo jioni maeneo fulani ya kujidai nikakutana live na mwanajf mashuhuri sana hapa kutokana michango yake ya ajabu kwenye nyuzi tofauti tofauti. Amenichangamkia sana sikuwahi kufikiria wanajf pia wana hulka tofauti na ID zao za hapa. Long life JF. Nimeenjoy leo
Karibu, n kesho nitkuwepo tena ndo eneo langu la kazi hili mshang-gazzzzz!Katika pitapita zangu leo jioni maeneo fulani ya kujidai nikakutana live na mwanajf mashuhuri sana hapa kutokana michango yake ya ajabu kwenye nyuzi tofauti tofauti. Amenichangamkia sana sikuwahi kufikiria wanajf pia wana hulka tofauti na ID zao za hapa. Long life JF. Nimeenjoy leo
Mpaji Mungu tuNi wazuri ila hawana hela
Aiseeeeeee!!π€£na huyu weka kwenye listi ya kaswendeView attachment 3112368
Katika pitapita zangu leo jioni maeneo fulani ya kujidai nikakutana live na mwanajf mashuhuri sana hapa kutokana michango yake ya ajabu kwenye nyuzi tofauti tofauti. Amenichangamkia sana sikuwahi kufikiria wanajf pia wana hulka tofauti na ID zao za hapa. Long life JF. Nimeenjoy leo
Imeisha hiyooo.
chaiBila picha ni uongo
kaswendena huyu weka kwenye listi ya kaswendeView attachment 3112368
Soda kubwa hata bila kununua ipo tu... njoo uichukuesawa. basi ninunulie hata ile soda kubwa pale juu halafu ntakupa "hell" yako bdae usiku
Mbona tushaonana, wewe tu hujui πππTuonane kesho halafu nije nikuanzishie uzi wa mahaba...π.