Hatimaye nimekutana LIVE na mwana-JF

Mshangazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
1,143
Reaction score
4,462
Katika pitapita zangu leo jioni maeneo fulani ya kujidai nikakutana live na mwanajf mashuhuri sana hapa kutokana michango yake ya ajabu kwenye nyuzi tofauti tofauti. Amenichangamkia sana sikuwahi kufikiria wanajf pia wana hulka tofauti na ID zao za hapa. Long life JF. Nimeenjoy leo
 
Hongera Mshangazi
 
Karibu, n kesho nitkuwepo tena ndo eneo langu la kazi hili mshang-gazzzzz!
 
Maeneo ya kujidai wapi huko mshangazi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…