Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Ooooh sikujua mwaya.....Hahaaaa..... Ilikuwa jokes tu.
I know your kind.aint rephrasing nothing.Rephrase statement yako mzee.
Otherwise niliyoyaandika yako intact
I know your kind.aint rephrasing nothing.
Endelea kufurahia uliyoyaandika and how they make u feel,hii achana nayo.
Atoto anakosaje Ban??..Mi nimewahi kulimwa moja tu miaka yote..
Asanteeekukaa jf miaka 5 bila ban ni sawa na kukaa miaka 5 katika ndoa bila kuchepuka big up sana mdada!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera sana, hata mimi ngoja nijipongeze, six yrs bila ban wala kubadilisha ID huku nikiwa najirusha pm[emoji23] sio kazi rahisi.