Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amna s series ya double line mkuu
Navigation kama A seriesSamsung s10+
Jiunge la bila kikomo la 1500 halotel kuanzia saa 6 usiku hadi 12 asubuhiDah mimi na wiki sasa nime ipata ila nasubiri niiungie MB zake special[emoji23]GB 2
Sent from my SM-A105G using Tapatalk
Utahama kutoka One UI version 1.0 to One UI version 2.0....kuna maboresho ya optical fingerprint scanner...performance...smoothness...gestures za android 10...kuna settings utakuta zimebadilika n.k....hizo ni baadhi ya mabadiliko ila hamna major changes kama zile za kutoka Oreo to Pie.Mlio update naomba mtupe utofauti wakuu mimi nimepata hiyo notification ya ku update kwenda 10 but nipo porini network kimeo mpaka niwe town but kabla sija update natamani kujua kitu gani kizuri kimeongezwa .natumia A70
Nasubiri mirejesho ya kutosha..
Update nyingi za MWANZO zinaleta Matokeo mabaya kwenye battery life..
Hao waliokua wanakazania hamna s-series zenye laini mbili, wanaishi wapi?
Nilitaka nikwambie nenda YouTube.....[emoji16][emoji16][emoji16]Mlio update naomba mtupe utofauti wakuu mimi nimepata hiyo notification ya ku update kwenda 10 but nipo porini network kimeo mpaka niwe town but kabla sija update natamani kujua kitu gani kizuri kimeongezwa .natumia A70
Duh!we wa wapi mkuu,s series double zipo nyingi tu mkuuAmna s series ya double line mkuu
Battery life imekua na changamoto,fast charge aiko faster kama awali na charge pia aikawii kuisha,tena sometimes simu inapata joto kali flan hiviNasubiri mirejesho ya kutosha..
Update nyingi za MWANZO zinaleta Matokeo mabaya kwenye battery life..
Hao waliokua wanakazania hamna s-series zenye laini mbili, wanaishi wapi?
Nilitaka nikwambie nenda YouTube.....[emoji16][emoji16][emoji16]
Battery life imekua na changamoto,fast charge aiko faster kama awali na charge pia aikawii kuisha,tena sometimes simu inapata joto kali flan hivi
Hicho ndio kinatokea kwa watu wengi wanao update simu zao,Battery life imekua na changamoto,fast charge aiko faster kama awali na charge pia aikawii kuisha,tena sometimes simu inapata joto kali flan hivi