Hatimaye nimepata dawa ya nguvu za kiume


Mwee mweee mwee!!
na siku dawa imeisha sasa,huna pesa tena ya kununulia hizo booster! Je, Azakali itasimama tena na kuweza kusimamia shoo??
Au ndo basi tena Jongoo halitapanda mtungi!!
Mmmh… Hapa naona kila nikiweka kidole,kinawaka moto!
 
Mwalimu wangu gfsonwin, huyo nanotechnology anaisikia tu!
 
Last edited by a moderator:
Mwee mweee mwee!!
na siku dawa imeisha sasa,huna pesa tena ya kununulia hizo booster! Je, Azakali itasimama tena na kuweza kusimamia shoo??
Au ndo basi tena Jongoo halitapanda mtungi!!
Mmmh… Hapa naona kila nikiweka kidole,kinawaka moto!

Hii siyo dawa kama dawa unazozifahamu wewe, ni mti tu wa porini ambao umejaariwa tu kuwa na uwezo wa kuhamasisha mwili kuzalisha nguvu na kuongeza homoni zihusianazo na uzazi bila madhara hasi, unaweza kutumia kadri utakavyo.
 

Nifahamishe kama una ant-dote yake.. maana isije ikawa chuma kikasimama kama mlingoti kutwa kucha, kutwa kucha wakati wewe ukiwe kwenye mchepuko wako huku umeshatia ndani nusu laki yangu! yalishawahi kumkuta jamaa mmoja aliyebugia mkuyati wa kimasai...ilibidi aitiwe zimamoto kabla ya kumsalimisha hospitalini walikofanikiwa kulegeza fuse, na kumfanya awe boga hadi sasa!
 
Hii si kama hiyo unayoisemea wewe mkuu, haina shida za namna hiyo kwa kifupi.

 
Mi ninayo ya kupaka tu kwenye kichwa cha mb..o ni ya asili kutoka d.r.c sio biashara aliniletea rafiki yangu ila naona ni kujichosha tu yaani kupiga bao hadi umuwaze Beyonce au Kardashian namuumiza tu wife na wakati sina tatizo.

Waiuza bei gani hii yako?
 
Akili yangu sio ndogo kiasi cha kuweza kutapeliwa.... Nimeona pale uliposema kuhusu kuweka mafuta ya taa kwenye chakula ndipo nikajua wewe ni kanjanja unayetaka kutapeli watu na huo uchafu wako unaouuza elfu hamsini..

Hujasoma boarding school waulize waliosoma shule za kukaa huko watakwambia wakila vyakula baadhi ya siku unahisi km mafuta ya taa kwa mbali niulize baadae kwan wanaweka ata tone la mafuta ya taa ili iweje

Ebwana hebu nipe iyo dawa nikamuwashe mama yeyoooo
 
Mkuu unapiga dozi kila ukitaka kusimamia shoo au? au ukipiga mara moja ndio ntolee?

Hapana mkuu, siyo kila ukitaka kusimamia show, hii unatumia kwa siku 10. Ukiona matokeo ni mazuri unaweza kuirudia hapo miezi ya baadaye tena utakapoona nguvu imepunguwa tena.
 
hebu Majigo i test hiyo dawa halafu ulete feedback, maana umetafuta sana dawa za nguvu za kiume kwa muda mrefu...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…