Dah! Hivi hili ni tatizo kweli kwa watu!! Poleni, 'dawa' pekee mi nitumiayo ni kula ndizi mbivu na mazoezi, na nakunywa sana maji, basi!! Stamina, kujiamini na kuwa mbunifu nafikiri ndo dawa!! Napiga gemu freshi sana. Ila kama havifanyi kazi kwenu basi nawashauri mumcheki huyu jamaa awasaidie maana hamna kitu kibaya kama demu kakushinda gemu uwanjani, haji tena!!