Hatimaye nimepata kazi

Hatimaye nimepata kazi

Baada ya kuomba kazi humu na kutumia neno kuwa kazi iwe halali ama haramu...watu wakaogopa..lakini kotekote Cha muhimu uaminifu....Sasa nimepata kazi nashukuru Mungu...ingawa sio kwa connection za JF lakini mlio Jamiiforum mnaotafta ajira msikate tamaa..Ombeni Mungu...Msi sex ndani ya siku 7-40..msiwe na negative energies..hakika kwa usafi huo na Kumuomba Mungu usiku na mchana Ni lazima atakutimizia..Maana Mungu Ni muaminifu....Mafia rules
Vipi kuhusu pombe, tunywe?
 
Usituletee mahubiri humu maana sio kila mtu mkristo.

Sijakuletea wewe, kama imekuchoma pita kimyakimya🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

Mimi nimempostia aliyeonyesha furaha kubwa katika kuikimbia zinaa na faida aliyopata

Kama wewe unavyopenda zinaa sio lazima kila usichopenda wewe na wengine wakichukie
 
Sijakuletea wewe, kama imekuchoma pita kimyakimya🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

Mimi nimempostia aliyeonyesha furaha kubwa katika kuikimbia zinaa na faida aliyopata

Kama wewe unavyopenda zinaa sio lazima kila usichopenda wewe na wengine wakichukie
Hivyo tu ilitosha sasa wakorintho wakazi gani humu?😁
Na ndio maana nikasema sio kila mtu atafurahishwa na mistari ya biblia kwa kuwa sio kila mtu ni muumin wa imani ya kikristo. Make ukizingatia mleta mada huijui imani yake mkristo au mwislamu.
 
Hongera kwa kupata kazi na hongera kwa kuikimbia zinaa
Kati ya matendo yanayoturudisha nyuma na kutuchelewesha ni zinaa. Mungu atusaidie[emoji120]


1 Wakorinto 6:18-20​

Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.

Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?

Wala ninyi si mali yenu wenyewe; maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu
Mungu anisamehe mkosefu mimi. Amina.
 
Hongera, lakini ingetosha kusema tu watu wajiepushe na kumuasi mungu, maana yapo mengi ambayo mtu anaweza akayafanya yanayo mchukiza mungu sio zinaa pekeyake.
Mkuu una akili nyingi sana,maana kuna vijidada vinajifanya vilokole wakati tunavitia miti ya kutosha alaf vinakuja kuongopea hapa kwa kujifanya wema sana kwa kuleta maandiko😁😁😁 vinatia hasira yaan.

Unakuta mtu kaandika mstari huo alaf baadae kdogo tu anaitwa na mchepuko wake anaenda kutiwa miti 😁😁 inakera yaan
 
Hivyo tu ilitosha sasa wakorintho wakazi gani humu?😁
Na ndio maana nikasema sio kila mtu atafurahishwa na mistari ya biblia kwa kuwa sio kila mtu ni muumin wa imani ya kikristo. Make ukizingatia mleta mada huijui imani yake mkristo au mwislamu.

Kumbe ni wakorinto wamekuchoma eeeeh💊💉
Usichukie ila Jikaze uache maana hata Qur'an inakataza🏃‍♀️🏃‍♀️



Zinaa ni maasi makubwa na ni uchafu uliovuka mipaka, sawasawa ikiwa ndani ya ndoa au kabla ya ndoa.

الزنا من كبائر الذنوب وأشدها فحشا، سواء أكان وقوعه بعد الزواج أم قبله.



Mungu atusaidie sote
 
Kumbe ni wakorinto wamekuchoma eeeeh💊💉
Usichukie ila Jikaze uache maana hata Qur'an inakataza🏃‍♀️🏃‍♀️



Zinaa ni maasi makubwa na ni uchafu uliovuka mipaka, sawasawa ikiwa ndani ya ndoa au kabla ya ndoa.

الزنا من كبائر الذنوب وأشدها فحشا، سواء أكان وقوعه بعد الزواج أم قبله.



Mungu atusaidie sote
Sijui umeenda ku download wapi , hakuna aya hiyo katika Qur'an

Vp kwanza umeolewa 😊😁
 
Back
Top Bottom