Hatimaye nimepata mke bora kutoka Badoo

Hatimaye nimepata mke bora kutoka Badoo

Hata Mimi niliwahi pata demu Bora Badoo na utamu nilikula, alikuwa mkarim apendi ela, ingawa sijamuoa, kutokana na kuondoka maeneo Yale, ila hatujawahi kuachana, so cute . Badoo kutamu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi dunian kuna mwanamke anaeweza kukutajia idadi ya wanaume waliomkula ili hali anajua na ww unamtaka?
 
Mzee bora liende, umepata bora mke.. [emoji23]

Uzi peleka jukwaa la jokes[emoji23]
 
Wakuu,

Hatimaye nimeopoa bonge ya mwanamke kutoka mtandao wa Badoo.

Tunatarajia kufunga ndoa ya fasta maana ni binti nzuri sana nafanya hivi ili nisije nikawahiwa maana ni mrembo balaa.
😀😀
 
Umempata mke bora wakati hata kuoa bado, huyo status yw mke bora inakuja aje?
 
Haha unabonyeza relitu

Huyo bado hajajua Mitandaoni kunaendaje.. Yaani ameona kichuguu tu amestuka hvo,, Je siku akiuona mlima si atazimia kabisa

Ni swala la muda,, Ulimwengu ni mwalimu mzuri sana... ni vile tu huwa hatoi nafasi ya pili na hana msamaha...
 
Back
Top Bottom