<br />he heee mpe hongera mkuu wa chuo lol<br />
simba mwenda pole ndo mla nyama....<br />
rudi sasa hapo uanze kazi..uje na thread nyingine lol
<br />Habari jukwaa la starehe! Bwana me niko hapa kuwaambia senkyuu kwa maushauri yenu ktk post yangu ya mwisho..in dilema...! Mnaikumbuka? Nimemaliza field salama, matokeo yamekuwa poa, hakuna kijana alienipata kati ya wa3 waliokuwa wanatishia amani na elimu yangu na above all mkuu wa shule amenipa katempo mpaka nirudi chuo. UTU WANGU UMESITIRIKA NA ZAIDI STAF YOTE IMENISALUTE CUZ KILA MDADA ANAEKUJAGA HAPA LAZMA ALIWE ILA ME NIMEVUNJA MWIKO...! Idumu JF, zidumu fikra CHANYA ZA wana JF wote....!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke, ndege mjanja hunaswa na tundu bovu. Chukua tahadhari usije uka fall kwa mbwia unga. Siku ukija kugundua ndio mko kwenye honey moon
malipo ya hako katempo kutoka kwa mkuu wako inaweza kuwa between ze legz ambayo uliibana. Mh NWY, watch very.
feed back ni mlisho wa nyuma kwa kiswahili sanifu nawala siyo mshindo nyuma kama ulivyoandika!!!!Hata mimi naona kama vile kamtengo kanakaribia kunasa....Naamini atarudi hapa kutupatia mshindo nyuma (feedback)!!