Hatimaye Nimevunja mwiko...!

Mficha uchi hazai. Ili uwe mwanajamii lazma ujamiiane. We bana tu kitaota kutu.
 
Hongera sana Mpwa, wasikukatishe tamaa mwaya, hongera sana kwa kuwa "mchoyo" kwa mali zisizokuhusu! Hongera sana mko wachache sana wa jinsi yenu: Hivi ungekubali ungetuambia? mmmh karibu tule
 
Mficha uchi hazai. Ili uwe mwanajamii lazma ujamiiane. We bana tu kitaota kutu.
<br />
<br />
Hahahahaaahahaaaaaa, kuna ile kanuni ya kibaolojia nimeisahau kidogo ila inahusu "evolution" kwamba kama kiungo hakitumiki huwa mara nyingi kinaweza kudhoofika au kutoweka! stand to be corrected!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…