KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Hapana, hali ya hewa imekuwa nzuri mno.Je, umeogopa isipige shoti ikafa au?
Niko very sober kuanzia mwaka huu uanze sijaweka kinywani mwanga hata tone la kileoMambo ya hang over hayo.
Mazingira ya kijijini kwetu kabisa hayaKuanzia mwaka huu wa 41 wa Shinchonji uanze, hatimaye leo nimezima AC ya chumbani baada ya mvua kubwa kunyesha.
Mvua imeanza kunyesha muda wa saa kumi na moja na dakika saba, hadi sasa inachapa mvua kubwa.
Natamani niende nje nikiwa uchi wa mnyama nikarukeruke kwenye mvua kwa furaha.
View attachment 2861373
Tanzania inafanana. Ukiachia nyumba za tembe zilizopo Dodoma, Singida na mikoa michache, nyumba zetu nyingi za asili ni za msongeMazingira ya kijijini kwetu kabisa haya
Mkuu picha ya AC?Kuanzia mwaka huu wa 41 wa Shinchonji uanze, hatimaye leo nimezima AC ya chumbani baada ya mvua kubwa kunyesha.
Mvua imeanza kunyesha muda wa saa kumi na moja na dakika saba, hadi sasa inachapa mvua kubwa.
Natamani niende nje nikiwa uchi wa mnyama nikarukeruke kwenye mvua kwa furaha.
View attachment 2861373
Kwa hiyo unataka picha ya AC ambayo iko nje ya ukuta? Hapa ndani kuna split unit tu. Unataka picha yake?Mkuu picha ya AC?
Ingependeza kama ulivyoweka picha ya mvua hapo
Sikuwahi kujua inakuwaga nje tu😂😂😂😂 hongera mkuuKwa hiyo unataka picha ya AC ambayo iko nje ya ukuta?
Imebidi nizame kwenye profile yako niangalie huyu Great Thinker anayetaka picha ya AC amejoin lini.Mkuu picha ya AC?
Ingependeza kama ulivyoweka picha ya mvua hapo
Nashukuru mkuu.Imebidi nizame kwenye profile yako niangalie huyu Great Thinker anayetaka picha ya AC amejoin lini.
View attachment 2861375
Tabia ya kutoka nje na boxer na kunyeshewa siwezi kuiacha hata iweje. Labda niwe naishi mazingira ambayo hayaruhusu.Kuanzia mwaka huu wa 41 wa Shinchonji uanze, hatimaye leo nimezima AC ya chumbani baada ya mvua kubwa kunyesha.
Mvua imeanza kunyesha muda wa saa kumi na moja na dakika saba, hadi sasa inachapa mvua kubwa.
Natamani niende nje nikiwa uchi wa mnyama nikarukeruke kwenye mvua kwa furaha.
View attachment 2861373
Nakumbuka siku moja nimetoka na kichupi kwenda kuruka ruka kwenye mvua, nikakutana na binti ,mtoto wa house girl wangu naye anaruka ruka uchi kwenye she is about 18-20.Tabia ya kutoka nje na boxer na kunyeshewa siwezi kuiacha hata iweje. Labda niwe naishi mazingira ambayo hayaruhusu.
Unaishi maeneo yapi? Nihamie jirani hapo?Tabia ya kutoka nje na boxer na kunyeshewa siwezi kuiacha hata iweje. Labda niwe naishi mazingira ambayo hayaruhusu.
Kwenye AC za Mpesa na Tigo PesaTusio na AC tunakomenti wapi?
Lazima mlinyanduana, ndio maana imeendelea kuwa siriNakumbuka siku moja nimetoka na kichupi kwenda kuruka ruka kwenye mvua, nikakutana na binti ,mtoto wa house girl wangu naye anaruka ruka uchi kwenye she is about 18-20.
Ikabaki siri yetu akarudi kwenye servant quarter yao nduki, na mimi nikarudi kimyaaa.
Hadi leo ni siri yetu