Hatimaye nimezima AC ya chumbani

Hatimaye nimezima AC ya chumbani

tunaoteseka leo ni tusio na magari 😀😀😀😀aaah mvua ikate bhana watu tuwahi vibaruani
 
Nakumbuka siku moja nimetoka na kichupi kwenda kuruka ruka kwenye mvua, nikakutana na binti ,mtoto wa house girl wangu naye anaruka ruka uchi kwenye she is about 18-20.
Ikabaki siri yetu akarudi kwenye servant quarter yao nduki, na mimi nikarudi kimyaaa.
Hadi leo ni siri yetu
Hukumla?
 
Hahahahahahaha, huwa natoka nje nikiwa na BOXER kukinga maji ya mvua .

Halafu huwa najisikia furaha hivi kunyeshewa na mvua, sasa nilikuwa sijui kama napenda kutoka hivyo sababu ya hako kakitu leo ndo NIMEGUNDUA kumbe kuna kilichojifichaaaa!!

Sasa kuanzia leo ikianza tu!! NIMO
 
Back
Top Bottom