Hatimaye RC Gambo aumbuka kwa kauli zake

Hatimaye RC Gambo aumbuka kwa kauli zake

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Katoka ma RC ambao wanapenda kukurupuka ni Makonda na Gambo. Wanajitahidi kufanya mazuri pia lakini wanahitaji wakati mwingine kusubiri na kufikiri kwanza kabla ya maamuzi.

Baada ya picha za ubovu wa barabara ya Ngorongoro kusambaa kwenye mitandao ya kijamii huyu mkurupukaji alikuja na kudai wote waliohusika watakamatwa na kuwekwa ndani eti sababu walichofanya sio uzalendo?

Sa jiulize uzalendo ni nini?

Serikali imeingilia kati na sasa baadhi ya njia zimefungwa na zitakarabatiwa ili ziweze kupitika nani mzalendo na nani sio mzalendo? Alietoa taarifa ya ubovu ili iboreshwe au yule alificha ubovu ili ibaki hivyo hivyo?

Hii nchi ni kichekesho sana ukipost Daraja la kigamboni ni sawa ila ukipost ubovu bombadia mbovu si sawa😁😁
 
Na kwa taarifa tu hiyo video isingetoka ukute mpaka leo yuko ofisini kwake hapo Arusha! Sasa mzalendo ni nani kati yake na mtoa taarifa?
 
Huyo Gambo mwanzoni alikuwaga handsome lakini tangu awe mshirikina anaangalia kama fisi maji
Amebalika nafanana na harakaharaka kwasasa! Ila kwa nafasi yake watu kuongea uhalisia na kuwaita wahujumu uchumi kajiaibisha na kaaibisha nafasi yake
 
Katoka ma RC ambao wanapenda kukurupuka ni Makonda na Gambo. Wanajitahidi kufanya mazuri pia lakini wanahitaji wakati mwingine kusubiri na kufikiri kwanza kabla ya maamuzi.

Baada ya picha za ubovu wa barabara ya Ngorongoro kusambaa kwenye mitandao ya kijamii huyu mkurupukaji alikuja na kudai wote waliohusika watakamatwa na kuwekwa ndani eti sababu walichofanya sio uzalendo?

Sa jiulize uzalendo ni nini?

Serikali imeingilia kati na sasa baadhi ya njia zimefungwa na zitakarabatiwa ili ziweze kupitika nani mzalendo na nani sio mzalendo? Alietoa taarifa ya ubovu ili iboreshwe au yule alificha ubovu ili ibaki hivyo hivyo?

Hii nchi ni kichekesho sana ukipost Daraja la kigamboni ni sawa ila ukipost ubovu bombadia mbovu si sawa😁😁
Hawawezi kuwashitaki maana ile sheria ya Whistle Blower and Witness Protection inawalinda watoa habari. Ukisoma vifungu 10-11, na 16 (2) hakuna mtu anaweza kuwagusa wako protected
 
Katoka ma RC ambao wanapenda kukurupuka ni Makonda na Gambo. Wanajitahidi kufanya mazuri pia lakini wanahitaji wakati mwingine kusubiri na kufikiri kwanza kabla ya maamuzi.

Baada ya picha za ubovu wa barabara ya Ngorongoro kusambaa kwenye mitandao ya kijamii huyu mkurupukaji alikuja na kudai wote waliohusika watakamatwa na kuwekwa ndani eti sababu walichofanya sio uzalendo?

Sa jiulize uzalendo ni nini?

Serikali imeingilia kati na sasa baadhi ya njia zimefungwa na zitakarabatiwa ili ziweze kupitika nani mzalendo na nani sio mzalendo? Alietoa taarifa ya ubovu ili iboreshwe au yule alificha ubovu ili ibaki hivyo hivyo?

Hii nchi ni kichekesho sana ukipost Daraja la kigamboni ni sawa ila ukipost ubovu bombadia mbovu si sawa😁😁
Taarifa ya habari kwenye moja ya stesheni za luninga Jana Alhamis wameonesha picha ya jeshi likikarabati barabara husika, namshauri awakamate wote walioonekana; Viongozi wa awamu hii wanapenda kusukuma ndani raia wema.
 
Back
Top Bottom