Hatimaye Ripoti ya Intelijensia ya Marekani kuhusu kuuawa kwa Khashoggi yatolewa, MBS atajwa kuhusika

Hatimaye Ripoti ya Intelijensia ya Marekani kuhusu kuuawa kwa Khashoggi yatolewa, MBS atajwa kuhusika

Saudia ni mshirika muhimu sana was U.S.A mashariki ya kati. Marekani alichokifanya ni unafki tu kusema kwamba hakubaliani na Saudia, kabla ya uchunguzi wao hata mawe na miti vilijua kwamba Kashogh kauwawa kwa maagizo kutoka mamlaka za juu za utawala wa kifalme was Saudia. Wanajuana na wanaelewana.
Upo sahihi, America ndio mlinzi wa Mecca & Medina , mshirika muhimu sana kwa Saudi Arabia, na Saudi inamuhitaji zaidi US kuliko the opposite. ,Lakini administration mpya pale Washington haimtaki MBS baada ya kugundua akili yake haina utulivu. ....US inaongea kwa vitendo kwamba "tupo pamoja " isipokuwa huyu dogo hatumtaki.
 
Upo sahihi, America ndio mlinzi wa Mecca & Medina , mshirika muhimu sana kwa Saudi Arabia, na Saudi inamuhitaji zaidi US kuliko the opposite. ,Lakini administration mpya pale Washington haimtaki MBS baada ya kugundua akili yake haina utulivu. ....US inaongea kwa vitendo kwamba "tupo pamoja " isipokuwa huyu dogo hatumtaki.
OK... Nimekupata huu mchezo U.S.A aliufanya Vietnam miaka ile ya vita kwa kumng'o general mmoja kwa janja janja kama hii naye kichwa chake kilikuwa kama cha Mbs
 
Upo sahihi, America ndio mlinzi wa Mecca & Medina , mshirika muhimu sana kwa Saudi Arabia, na Saudi inamuhitaji zaidi US kuliko the opposite. ,Lakini administration mpya pale Washington haimtaki MBS baada ya kugundua akili yake haina utulivu. ....US inaongea kwa vitendo kwamba "tupo pamoja " isipokuwa huyu dogo hatumtaki.
Money makes world go round
IMG_20210227_113928.jpg


Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Haipingiki ni kweli mwanamfalme alihusika moja kwa moja,kumnyamazisha khashoggi,ili kuulinda ufalme na familia ya kifalme.Na malekani Hana mpango wowote dhidi ya Saudi Arabia,Kwanza Saudi na marekani ni maswahiba wa muda mrefu.ila Sasa utofauti wa Trump na biden,ndio umewaweka Saudi Arabia kitimoto.biden amefanya makusudi ili kumpa warning Trump na figisu zake dhidi yake (rais biden),kumbuka Trump sio kwamba ame retreat kwa biden hapana !ame step out whathouse lakini bado anaharakati za chini kwa chini kumharibia biden.Hii ni warning kwa Trump ,akae mbali na biden na aache mpango wake wa figisu za chini kwa chini dhidi ya biden,na ikiwa Trump hatashtuka na hii warning aliyopewa na biden,Basi tutegemee riport zingine ambazo zilifichwa hazikuwekwa wazi na Trump,ambazo kimsingi hazina madhara kwa marekani lakini zinamadhara kwa Trump na chama chake.
 
Kwani hivi ni ufalame au uongozi gani utakaokubali kufanyiwa uhaini?
Mbona wengi tu wanarestishwa lakini hatuskii sauti? Hapa kuna maslahi ya wazungu ndio maana, ukweli ni kwamba adhabu ya uhaini ni kifo popote pale duniani tena kwa style yeyote muhimu kibaraka aondoke tu
Big up mbs
 
Baada ya kusubiriwa kwa miaka miwili, hatimaye ripoti ya Shirika la Ujasusi la Marekani kuhusu kuuawa kwa Jamal Khashoggi imeachiwa siku ya Ijumaa ikionesha kuhusika kwa uongozi wa Saudi Arabia katika tukio hilo.

Ripoti hiyo yenye kurasa nne imemtaja Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed Bin Salman kuhusika moja kwa moja kwa kutoka amri ya kuuawa kwa Khashoggi kutokana na ushawishi wake wa kimaamuzi ndani ya Ufalme na kuhusika kwa watu wake wa karibu pamoja na walinzi wake katika tukio hilo, ikiwataja waliohusika katika tukio hilo.

Ripoti hiyo imemtaja MBS kama muungaji mkono matumizi ya nguvu katika kuwanyamazisha wakosoaji wake hata nje ya mipaka ya Ufalme, akiwamo Khashoggi.

"Tangu mwaka 2017, Mwanamfalme amekuwa na mamlaka ya moja kwa moja katika vyombo vya usalama na vya kiintelijensia ndani ya Ufalme, hivyo tukio kama hilo lisingeweza kutendeka bila kibali cha Mwanamfalme," ripoti hiyo ilieleza, ikongeza kuwa MBS alimuona Khashoggi kama 'tishio kwa Ufalme.'

Wizara ya Mambo ya Kigeni ya Saudi Arabia imekanusha kuhusika na kuuawa kwa Khashoggi ikisema kuwa haikubaliani kabisa na uchambuzi wa uongo kuhusu uongozi wa Ufalme, ikisema ripoti hiyo inahusisha taarifa za kupotosha.

Maafisa wa Ikulu ya Marekani wamesema kuwa uongozi wa Biden utaamua hapo baadaye hatua zinazofaa kuchukuliwa dhidi ya Ufalme kufuatia kuuawa kwa Khashoggi baada ya ripoti hiyo kutolewa.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amejibu ukanushaji wa Saudi Arabia, akisema ripoti hiyo "inajieleza yenyewe," na kuwa uongozi wa Biden "unajaribu kuleta uwazi na kuwashirikisha Wamarekani kile tunachokifahamu."

Mwaka jana, mmoja wa watoto wa Khashoggi, Salah, aliandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter kuwa familia yake imewasamehe waliohusika katika mauaji ya baba yao.
Hata hivyo, inadaiwa kuwa Saudi Arabia iliwapa watoto wanne wa Khasoggi kila mmoja nyumba yenye thamani ya dola milioni moja, na kitita cha fedha kama sehemu ya fidia kwa kuuawa kwa baba yao.

Utawala wa Rais Donald Trump ulizuia kuwekwa hadharani kwa ripoti hiyo licha ya Baraza la Congress kupitisha sheria kutaka kuwepo kwa uwazi katika uchunguzi wa tukio hilo. Kashoggi, mwandishi wa habari wa gazeti la Washington Post na mkosoaji wa serikali ya Saudi Arabia, aliuawa ndani ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Istanbul, Uturuki, Octoba mwaka 2018.

Chanzo: Al Jazeera

Isome ripoti hiyo: 👇👇👇
Democratic huwa wanajitahidi sana katika suala la UTU na UBINADAMU.
 
Money makes world go roundView attachment 1712991

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Yes, but not necessarily as it has been portrayed by NYT, na sio lazima action iwe overnight kwa kurupuka, lakini ukisoma picha kubwa unaweza gundua this administration has taken different approach to the previous one on dealing with MBS & KSA
 
Yes, but not necessarily as it has been portrayed by NYT, na sio lazima action iwe overnight kwa kurupuka, lakini ukisoma picha kubwa unaweza gundua this administration has taken different approach to the previous one on dealing with MBS & KSA
Statement aliyotoa Biden wakati wa kampeni

IMG_20210227_113958.jpg


Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Hii inamaanisha MBS hawezi tena kuwa mfalme wa Saudi Arabia in case baba yake king Salman anafariki, .... why? Existence ya Saudi Arabia inategemea ulinzi wa US kwa 100%..... huyu kijana anakurupuka sana ktk maamuzi yake , nafikiri ni utoto+ ujinga na roho mbaya, je ataweza kuwatunishia msuli waamerika? NO hawezi jaribu ' mbabe wa gulf IRAN ataifuta kwenye ramani ya Dunia over night.
He is caught between rock and hard place.

Trump alipenda sana hela zake (ambazo ni nyingi)
Biden amesema hawezi ongea naye, sio level yake ktk madaraka.
Ndiyo maana Biden hatamaliza miaka 4

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kusubiriwa kwa miaka miwili, hatimaye ripoti ya Shirika la Ujasusi la Marekani kuhusu kuuawa kwa Jamal Khashoggi imeachiwa siku ya Ijumaa ikionesha kuhusika kwa uongozi wa Saudi Arabia katika tukio hilo.

Ripoti hiyo yenye kurasa nne imemtaja Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed Bin Salman kuhusika moja kwa moja kwa kutoka amri ya kuuawa kwa Khashoggi kutokana na ushawishi wake wa kimaamuzi ndani ya Ufalme na kuhusika kwa watu wake wa karibu pamoja na walinzi wake katika tukio hilo, ikiwataja waliohusika katika tukio hilo.

Ripoti hiyo imemtaja MBS kama muungaji mkono matumizi ya nguvu katika kuwanyamazisha wakosoaji wake hata nje ya mipaka ya Ufalme, akiwamo Khashoggi.

"Tangu mwaka 2017, Mwanamfalme amekuwa na mamlaka ya moja kwa moja katika vyombo vya usalama na vya kiintelijensia ndani ya Ufalme, hivyo tukio kama hilo lisingeweza kutendeka bila kibali cha Mwanamfalme," ripoti hiyo ilieleza, ikongeza kuwa MBS alimuona Khashoggi kama 'tishio kwa Ufalme.'

Wizara ya Mambo ya Kigeni ya Saudi Arabia imekanusha kuhusika na kuuawa kwa Khashoggi ikisema kuwa haikubaliani kabisa na uchambuzi wa uongo kuhusu uongozi wa Ufalme, ikisema ripoti hiyo inahusisha taarifa za kupotosha.

Maafisa wa Ikulu ya Marekani wamesema kuwa uongozi wa Biden utaamua hapo baadaye hatua zinazofaa kuchukuliwa dhidi ya Ufalme kufuatia kuuawa kwa Khashoggi baada ya ripoti hiyo kutolewa.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amejibu ukanushaji wa Saudi Arabia, akisema ripoti hiyo "inajieleza yenyewe," na kuwa uongozi wa Biden "unajaribu kuleta uwazi na kuwashirikisha Wamarekani kile tunachokifahamu."

Mwaka jana, mmoja wa watoto wa Khashoggi, Salah, aliandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter kuwa familia yake imewasamehe waliohusika katika mauaji ya baba yao.
Hata hivyo, inadaiwa kuwa Saudi Arabia iliwapa watoto wanne wa Khasoggi kila mmoja nyumba yenye thamani ya dola milioni moja, na kitita cha fedha kama sehemu ya fidia kwa kuuawa kwa baba yao.

Utawala wa Rais Donald Trump ulizuia kuwekwa hadharani kwa ripoti hiyo licha ya Baraza la Congress kupitisha sheria kutaka kuwepo kwa uwazi katika uchunguzi wa tukio hilo. Kashoggi, mwandishi wa habari wa gazeti la Washington Post na mkosoaji wa serikali ya Saudi Arabia, aliuawa ndani ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Istanbul, Uturuki, Octoba mwaka 2018.

Chanzo: Al Jazeera

Isome ripoti hiyo: [emoji116][emoji116][emoji116]
Mbona kila kitu kilikuwa wazi kuhusika kwake je illitaji intelogencia yoyote au ndo matumizi Mabaya ya resilimali fedha
 
Back
Top Bottom