Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Dingi. Mpaka wapate haki zao, Inabidi waiingie huko. ,... Vvu ,Mimba COVID 19, Ebola,nk. Vinawakabili. Not Ukombozi wa Mwafrika kutoka Kwa mzungu, vikwazo kibao.Kwanza ukifungwa bongo mke anaanzia kwa waganga wa kienyeji kuchek mambo huko waganga wanapiga, bodaboda nao kama kawaida, msimamizi wa ndoa nae atapiga kumpa faraja mke wako, bado mwendesha mashtaka, bado mpelelezi wa kesi yako nae apige, yaani wanawake wanapitia magumu sana
[emoji24][emoji24]Bongo angekuta mke ameshapigwa pumbu na Bodaboda mpaka kachakaa
Dah me nlijua demu,huyo jamaa nae afuge hata ndevu tutakuja kumkonyeza bureHuyu ni mume. Mke wake huyo
View attachment 2439980
Dejane haya ni ya ukweli?Bongo angekuta mke ameshapigwa pumbu na Bodaboda mpaka kachakaa
Ni dem ndio ila ni msagajiDah me nlijua demu,huyo jamaa nae afuge hata ndevu tutakuja kumkonyeza bure
Kama shoga vile
Inawezekana piaPossibly huyu jamaa ni CIA kucheza basketball ni kofia tu ila ni undercover agent muandamizi kama ilivyo Naomi Campbell au Angelina Jolie walimstukia mapema
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyu Dada ni Shoga Msagaji kumbe. Alikuwa na ameoa Mchezaji mwenzake ila yasemekana walipeana talaka. Mwenzake aliamua kubeba Mimba Kwa IVF na kujipatia Watoto mapacha wa kike. Dada Beautiful lakini keshaLeft Group. Ingewezekana wakamuweka Selo za Wanaume bcoz amejipa Majukumu Yao.December 08,2022.
Mchezaji kikapu raia wa Marekani Brittney Griner aliyekuwa ameshikiliwa nchini Russia tangu mwanzoni mwa mwaka huu ameachiliwa huru Leo.
Mchezaji huyo alihukumiwa kifungo cha miaka 9 jela kwa kosa la kukamatwa na madawa ya kulevya.
Kuachiliwa kwake kumetokana na kubadilisha wafungwa kati na Urusi na Marekani ambapo Griner amebadishwa na Victor Bout muuzaji Silaha wa Kirusi aliyekuwa amefungwa nchini Marekani kwa zaidi ya miaka 12.
Mabadilishano hayo yalifanyika leo katika Uwanja wa Ndege huko Abu dhabi baada ya miezi kadhaa ya mvutano baina ya nchi hizo mbili juu ya kushikiliwa wa Mchezaji huyo.
View attachment 2439949View attachment 2439950
Possibly huyu jamaa ni CIA kucheza basketball ni kofia tu ila ni undercover agent muandamizi kama ilivyo Naomi Campbell au Angelina Jolie walimstukia mapema
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
OK,kumbe walishaachana?Kwahio Huyo mwenzake aliolewa na Msagaji tena au ilikuwaje?Huyu Dada ni Shoga Msagaji kumbe. Alikuwa na ameoa Mchezaji mwenzake ila yasemekana walipeana talaka. Mwenzake aliamua kubeba Mimba Kwa IVF na kujipatia Watoto mapacha wa kike. Dada Beautiful lakini keshaLeft Group. Ingewezekana wakamuweka Selo za Wanaume bcoz amejipa Majukumu Yao.
Mkuu huko wenzetu mwendo walishaumaliza,ni wa kuachana nao tu,chamsingi wasituletee huku huo ushetani wao kwa kulazimishaNimepitia machache kumuhusu huyu bidada .,ila hawa wahamasishaji wa mambo ya ushoga n watu wa ovyo sana... na nimeskia leo biden kasaini sheria inayohalalisha ndoa za jinsia moja..
hahahha balozi ndezi kwelitanzania hata balozi wetu kutetea raia wake hawezi!.
kuna siku watanzania walikuwa wanaponda balozi ya tanzania south africa yani mtu kaja kuomba msaada kaonewa eti balozi ana muuliza ulikuja kufata nini nchi za watu.
kweli tumerogwa