Hatimaye selection zimeanza kutoka kwa baadhi ya vyuo

Hatimaye selection zimeanza kutoka kwa baadhi ya vyuo

dah kweli kuna mdogo nilimuombe amepata procurement and supply dah poa sana
 
Am nt sure,nijuavyo mimi,tcu hutoa majina yote kwa pamoja.labda mambo mapya,cjui
 
hv majina ya dgree kwl au kwann wasitoe majina yote? Na chuo wanarpot lin!
 
huo utaratibu karibu kila mwaka ni hivyo hivyo vyuo hutoa then baada tcu watatoa moja kwa moja pamoja mikopo ila wale wa second round mkopo wasahau mpaka baadae
 
Mi nliomba cbe kama second choice na MUST kama first,CBE hawajanichagua na nimewapigia wakanambia hayo ndo majina waliyoletewa na tcu!hvo kwa sasa wanasubir tu majina toka NACTE na sio kua hao ndo walioomba direct kama mkuu mmoja alvosema!
 
Mi nliomba cbe kama second choice na MUST kama first,CBE hawajanichagua na nimewapigia wakanambia hayo ndo majina waliyoletewa na tcu!hvo kwa sasa wanasubir tu majina toka NACTE na sio kua hao ndo walioomba direct kama mkuu mmoja alvosema!

Umemaliza ubishj
 
Mi nliomba cbe kama second choice na MUST kama first,CBE hawajanichagua na nimewapigia wakanambia hayo ndo majina waliyoletewa na tcu!hvo kwa sasa wanasubir tu majina toka NACTE na sio kua hao ndo walioomba direct kama mkuu mmoja alvosema!
ina maana majina yaliyotoka ni kwa walio apply direct tu:? kama ndo hivyo majina kutoka tcu kwa selection za vyuo vyote ni lini if anyone hv an idea?
 
kwann wactoe kwa pamoja na vyuo vyote? Pia mamraka ya kutoa majna ipo chin ya tcu au chuo?
bachelor selected students by tcu 2013 waliochaguliwa ni through tcu sema tcu imesubmit majina kwa chuo husika kabla ya wao wenyewe tcu ku publish kwenye website yao ... lakini waliokua selected ndo hao hao ambao tcu imewaselect
 
Back
Top Bottom