Morgan Freeman
Member
- Mar 14, 2015
- 85
- 105
Hayawi hayawi sasa yamekua serikali imetegua kitendawili na kusema kuwa wataajiri walimu na wataalamu wa maabara mwezi huu wa 4 baada ya ofisi ya raisi kutoa kibali cha ajira
source Magazeti ya leo
gazeti gani? toa habari kamili brother
Kaka ulivyoandika mpaka nimekuonea Huruma . Unaonyesha kabisa ww ni mwalimu uliyekosa ajira .
Hakuna gazeti lililoandika hiivyo leo ,zaidi walichoandika ni mngoje waangalie sehemu uenye mahitaji ndipo hapo wawapange. Sasa Akili kichwani kwako Hayo mahitaji?Jiulize maswali haya
1. Hayo mahitaji yapo kwa kiwango gani . ?
1. Je wataangali sehemu yenye maahitaji kwa mda gani. ?
3. Je watakaohitajika na ww utakuwepo . ?
Poleni .
Kaka ulivyoandika mpaka nimekuonea Huruma . Unaonyesha kabisa ww ni mwalimu uliyekosa ajira .
Hakuna gazeti lililoandika hiivyo leo ,zaidi walichoandika ni mngoje waangalie sehemu uenye mahitaji ndipo hapo wawapange. Sasa Akili kichwani kwako Hayo mahitaji?Jiulize maswali haya
1. Hayo mahitaji yapo kwa kiwango gani . ?
1. Je wataangali sehemu yenye maahitaji kwa mda gani. ?
3. Je watakaohitajika na ww utakuwepo . ?
Poleni .
Acha unanga ww tamko lishatoka
naliweka punde ndugu mwalimu...vp unawahi tempo?
tanzania daimaAcha unanga ww tamko lishatoka
Kaka ulivyoandika mpaka nimekuonea Huruma . Unaonyesha kabisa ww ni mwalimu uliyekosa ajira .
Hakuna gazeti lililoandika hiivyo leo ,zaidi walichoandika ni mngoje waangalie sehemu uenye mahitaji ndipo hapo wawapange. Sasa Akili kichwani kwako Hayo mahitaji?Jiulize maswali haya
1. Hayo mahitaji yapo kwa kiwango gani . ?
1. Je wataangali sehemu yenye maahitaji kwa mda gani. ?
3. Je watakaohitajika na ww utakuwepo . ?
Poleni .