Tetesi: Hatimaye serikali yalipa allowance kwa walimu

Kama anataka watu wasifanye kazi atoe izo posho kwa wakuu. Maana sidhan kama wakuu wana kazi zaid ya walimu wa kawaida.

Na bado bila kuwa na majukumu ivoivo wana viposho, leo uwaongezee c unatafta kuua molari ya walimu wote.
 
anashindwaje kuwapa posho sawa na maaskari japo laki tatu hawa walimu waliopo madarakan hebu kumbukeni hii kada muhimu
Walimu hawana umuhimu kama polisi wanaomsaidia kusalia madarakani na kupambana na operesheni UKUTA/UKAWA kila kukicha.
 
aghaa Mkuu simuyu soma Tena Mkuu nimesema anashindwaje( rais)kuwapa posho( walimu) sawa na maaskari. hapo endelea mwenyewe mana umesoma ki mwendo kasi labda mkuu
Hilo jamaa Simiyu Yetu huwa linakurupukaga kutoka usingizini na kujibu hata vitu lisivyovijua....ni la ovyo sana.
 
tetesi za july zimeanza tena august
Hizi tetesi hazina mwisho mkuu...kuna zingine za septemba tena. Eti wadakuzi wa mipasho wanajipa matumaini hewa kuwa september mishahara itapanda....sijui itatokana na bajeti gani...labda zitamegwa kutoka bejeti ya kuhamia dodoma....ambayo haijaidhinishwa na bunge.
 
Kwa hiyo wakuu wa shule ndio wanafundisha tu eti, tusubiri matokeo
 
Tatizo walimu wenyewe hampendani...mwenzenu kapewa allowance badala ya kupambana na nyie mpewe..meanza majungu ya kuonyesha mwalimu mkuu hana kazi...walimu bhana
 
 
anashindwaje kuwapa posho sawa na maaskari japo laki tatu hawa walimu waliopo madarakan hebu kumbukeni hii kada muhimu
Ukipewa hata hicho kidogo shukuru Allah...kwa kuanzia sio mbaya...Magufuli tunaimani kubwa na wewe sisi walimu na hatutakubali kushikishwa ukuta...
 
angalau awakumbuke wana majukumu mazito zaidi ya tunaofundisha! nlishakaimu hii nafasi week 3 tu alisafiri ni ngumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…