Hatimaye Simba imefanikiwa kumsajili kiungo funding wa kabumbu, Peter Banda kutoka timu ya Nyasa Big Bullet

Hatimaye Simba imefanikiwa kumsajili kiungo funding wa kabumbu, Peter Banda kutoka timu ya Nyasa Big Bullet

Club ya Simba imepafanikiwa kumnasa kinda wa timu ya Nyssa big bullet ya nothing Malawi [emoji1156] kwa mkataba wa miaka mitatu. Dili hilo limefanikishwa na Hans Pope Zakaria aliyetua Malawi kukamilisha dili hilo.

Source ni mimi mwenyewe.
Hivi chikwende alienda wapi
 
Habari za usajili wa Simba siku hizi sio wa kuzipata jamii forum, muda ukifika watasema Nani kasajiliwa na Nani kaachwa, hizi habari za humu ni hatari Kwa Afya yako, mtakuja kukasirika bure Tu
Amini nilichopost hapo juu.
 
Kama Simba wamemsajili basi wamepata mchezaji mzuri lakini suala la "kuperfom" ni suala lingine tusubiri muda utaongea. Yaani mimi mpaka leo bado sijaamini nini kimemtokea Chikwende baada ya kumtazama kwenye mechi mbili za Simba VS Platinum kule Zimbabwe na hapa Dar jinsi alivyotisha halafu akasajiliwa kaja kuwa kama Sarpong.
 
Back
Top Bottom