Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Yes ni Bora Kwa walioferiSimba tukishiriki kombe lolote hua linakua kombe bora
Tulikua tumeferiMbona nyie mlishashiriki hapo nyuma
Leo kila lugha mtaongeaYes ni Bora Kwa walioferi
KOMBE la walioferi ongereni maana mnazidi kua mambumbumbu 🤣🤣🤣🤣Leo kila lugha mtaongea
Simba ikishinda Leo dhidi ya Al ahly tripoli nipigwe ban
Mimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg...www.jamiiforums.com
Hongereni mmezidi kuwa mambumbumbu 🤣🤣🤣🤣🤣Mod msaidieni kumrekebishia anachoandika, mara walioferi mara kufudhu. Msaidieni mtanzania mwenzetu huyu.
Hongera mbumbumbuKANJUNJU ktk ubora wake
🤣🤣🤣🤣Basi tuwaambia Waache kuferiii...!!
Yan leo ni hivi ni mwendo wa kufufua makaburi kila lugha itaogewa leo🦁Hongereni mmezidi kuwa mambumbumbu 🤣🤣🤣🤣🤣
Hongereni mbumbumbuYan leo ni hivi ni mwendo wa kufufua makaburi kila lugha itaogewa leo🦁
Angalizo: Chonde Chonde Makolo msing'oe viti mkifungwa kwa Mkapa leo!
Leo ndiyo siku ambayo wale Waarabu kutoka Libya Al Ahli Tripoli waliotua nchini kupambana na Simba wanatarajiwa kuonyesha kandanda la kibabe kwa kupata ushindi mnono ugenini! Ushauri kwa Wana Lunyasi wote ni kuwa wavumilivu uwanjani, msing'oe viti wala kutoroka! Tunategemea mtaendelea...www.jamiiforums.com
Hongera mbumbumbuUnateseka ukiwa wapi?