Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kolo hongereni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kolo hongereni sana
Tumefudhu, hatujaferi sisi.Hongereni mmezidi kuwa mambumbumbu 🤣🤣🤣🤣🤣
Hongereni Kwa kuzidi kuwa mambumbumbuTumefudhu, hatujaferi sisi.
Uliangalia mechi lakini?Hongereni Kwa kuzidi kuwa mambumbumbu
Asante sana utopolo but Vip leo umeziona short on target 🎯?Hongereni mbumbumbu
Mbumbumbu fc a.k.a makolooooAsante sana utopolo but Vip leo umeziona short on target 🎯?
Siangalii mechi za kombe la walioferi a.k.a mbumbumbuUliangalia mechi lakini?
Ila una muda wa kuandika matokeo yao.Siangalii mechi za kombe la walioferi a.k.a mbumbumbu
Kunywa maji mengi, afu pumzikaa, yakizidi sana muone daktariii.Hongereni mmezidi kuwa mambumbumbu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Poleee kwa maumivuu, yatapunguaa tyuuh usijar.Ile Al Ahly Tripoli nimeona kumbe ni timu mbovu tu kwenye hii ligi ya mademu si ya kujivunia kuifunga, ngoja tukaone vyuma vya kuikanda Simba huko makundi kombe la wamama waliofeli.
Kipimo ni Simba mdebwedo kutinga fainali hilo kombe la rede la mademu si kuingia makundi!
Kwenye hayo makundi ya loosers lazima Simba ishike mkia, niko paleee maskani Buza Mpalanger nawazoom makolo tu!!
Leo saa mbovu imepatia majira, japo Yanga itaonesha panapovuja kule kolokoloni hapo October!!
Povu ruksa matusi hapana!!