aaaagh, ni sawa na mgonjwa wa ukimwi kufanikiwa kumeza cofta hastahili kupigiwa makofi.
tulipohitaji ushindi katika mechi zidi ya msumbiji waliluka luka tu matokeo yake wakatiwa aibu hapa hapa kwao, sasa leo kwenye kombe la mbuzi eti wanajishaua kwa lipi haswa?