Hatimaye Taifa Star yashinda 2-0

Hatimaye Taifa Star yashinda 2-0

NgomaNzito

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2008
Posts
559
Reaction score
28
Hatimaye timu yetu ya TAifa (Taifa stars) yaishinda Kenya 2-0 lakini kiwango cha vijana wa Maksimo wana kiwango au Fluke
 
aaaagh, ni sawa na mgonjwa wa ukimwi kufanikiwa kumeza cofta hastahili kupigiwa makofi.
tulipohitaji ushindi katika mechi zidi ya msumbiji waliluka luka tu matokeo yake wakatiwa aibu hapa hapa kwao, sasa leo kwenye kombe la mbuzi eti wanajishaua kwa lipi haswa?
 
Back
Top Bottom