Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Ajenge kiwanda nchini kwetu ili asiagize kwa mabeberu.Jana Rais analalamika mpaka pamba ile ya kuchukua kipimo inaagizwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajenge kiwanda nchini kwetu ili asiagize kwa mabeberu.Jana Rais analalamika mpaka pamba ile ya kuchukua kipimo inaagizwa.
YapWamepimwa wachache ila wanaokufa bila kupimwa au kupatiwa matibabu ndiyo shida mkuu.
Ndo hapo Rais analalamika kwa wananchi ..Wakati ana uwezo wa kujenga kiwanda. Tena alishatudhibitishia kuwa Tanzania ni nchi tajiri sana.Ajenge kiwanda nchini kwetu ili asiagize kwa mabeberu.
Hakuna anaeitaka sisiemu,mbadala wa sisiem ni chama gani ama nani utamchagua urais?hii nchi mchawi wake ni ccm, ikitoka tu utaona nchi inakimbia mpaka tutashangaa,
ccm kila mtu yupo kuangalia wapi atainyonya nchi
Hiyo imekuwa hivyo sababu hawapimi randomly bali wanapima wenye dalili na wale waliokutwa na ugonjwa wanapimwa waliokutana nao, Lazima iwe hivyo.Watu 652 na kati ya hao 480 positive aiseeee!!!
Hama nchi, sisi tunapima wenye signs na symptoms za ugonjwa pekee, vipimo vyenyewe feki hivyo kumbe ndo maana vibaraka walikuwa wanapigia mayowe mass testing ili kuwatia taharuki watu as walishaelezwa na mabwana zao kwamba wametuletea vifaa feki, Magufuli kawaumbua.hii nchi mchawi wake ni ccm, ikitoka tu utaona nchi inakimbia mpaka tutashangaa,
ccm kila mtu yupo kuangalia wapi atainyonya nchi
Ndo hapo Rais analalamika kwa wananchi ..Wakati ana uwezo wa kujenga kiwanda. Tena alishatudhibitishia kuwa Tanzania ni nchi tajiri sana.
Hiyo imekuwa hivyo sababu hawapimi randomly bali wanapima wenye dalili na wale waliokutwa na ugonjwa wanapimwa waliokutana nao, Lazima iwe hivyo.
Ukweli ni kwamba wamepimwa watu wachache sana.
Ni kwamba kwa takwimu hizo kiwango cha maambukizi ni kikubwa. 73%Jana Rais analalamika mpaka pamba ile ya kuchukua kipimo inaagizwa. Wanabana matumizi. Halafu 652 kwa watu million 60 ni utani huo. Ina maana kuna wagonjwa kibao wana virus na hawajadhibitishwa.
Halafu kati ya vipimo 652 watu 480 positive.
Kazi ipo.