Kumbuka sisi hatujakataza binadamu yeyote kukanyaga Tanzania, nyie mlizuia kwa kuweka masharti ambayo sisi baba zenu hatutaki kuyasikia.mungiki lazima tushukee.....binafsi nina project zangu apooo bombambili weekend nashukaaa vibaka labda wamenibia nondoo!
Jamaa tumia ubongo kufikiri mbona maamuzi ya TCCA yapo wazi kabisa.Nafikiri hujui kuwa Kenya ndiyo imeanza kuondoa hiyo ban dhidi ya watanzania, kwa hiyo Tanzania nayo ika reciprocate. Hapa ni mwendo wa ban kwa ban tu, siyo kubembelezana.
Kwani hatujawafunza adabu? Bado mnasema Tanzania ni hatari? Bado mmezuia na kuwaweka karantini watanzania? Bado mmetuzia tusije kwenu?Si mlisema kuwa mtatucharaza viboko. Mlisema kuwa mtatufunza adabu. Mlisema KQ haitatua Dar hadi tupige magoti. Sasa tena mnasongeza goli. Baba yenu ukanda huu anajulikana
wewe utakuwa unatumia chokaa kama huwezi kusoma kuwa barua hiyo inasema kwamba uamuzi huo ni matokeo ya reciprocityJamaa tumia ubongo kufikiri mbona maamuzi ya TCCA yapo wazi kabisa.
Baada ya Watanzania kupiga domo jana kuwa Tanzania haitaruhusu KQ kuingia humo hadi mwakani, Tanzania imeshindwa kungoja hata wiki moja ili kufunza Kenya adabu kama mlivyokuwa mkisema.
Yaani hata masaa 24 hazijaisha kabla Kenya kuruhusu malazy kuingia huku, tayari TZ imeruhusu KQ kuingia. Hio haraka ni ya nini? Hii inaonyesha kuwa Tanzania ni nchi yenye utoto sana. Mnanuna kila wakati. Si mngengoja hata wiki moja ili sisi Wakenya tupate adabu kama mlivyosema? Kenya babu yenu.
=======
Tanzania lifts ban on Kenyan airlines
Kenyan carriers will resume flights with immediate effect after Tanzanian regulator lifts ban.
File | Nation Media Group
Kenyan airlines have finally been allowed to land in Tanzania, bringing an end to the airspace feud between the two countries.
This is after the Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) announced that it had lifted the suspension that hit Kenyan airlines.
In a statement, TCAA director general Hamza Johari said the authority was acting on reciprocal basis after its Kenyan counterpart, the Kenya Civil Aviation Authority (KCAA), included Tanzania on a revised list of countries exempted from the 14-day mandatory quarantine upon arrival.
“In view of that and on a reciprocal basis, Tanzania has now lifted the suspension for all Kenyan Operators namely, Kenya Airways, Fly 540 Limited, Safarilink Aviation and AirKenya Express Limited,” TCAA director general Hamza Johari said.
Mr Johari said Kenyan carriers can resume of flights immediately.
Last month, Tanzania nullified its approval for Kenya Airways to land in the country with effect from August 1, 2020 after Kenya excluded it from a list of about 111 countries whose passengers are allowed to enter its territory without being quarantined for 14 days.
A few days later, Tanzania banned three more Kenyan carriers - AirKenya Express, Fly540 and Safarilink Aviation - from flying into the country as it piled pressure on Kenya to ease its Covid-19 travel restrictions.
The tit-for-tat between the two countries was precipitated by different approaches that they have taken to tackle the Covid-19 pandemic.
While Kenya has ranked Tanzania on its red list, the latter has always maintained that it is Covid-19 free.
- Viboko tumewacharaza tayari mkalia, mkaomba msamaha tukakataa.Si mlisema kuwa mtatucharaza viboko. Mlisema kuwa mtatufunza adabu. Mlisema KQ haitatua Dar hadi tupige magoti. Sasa tena mnasongeza goli. Baba yenu ukanda huu anajulikana
We kenge nnkupimwa bado ni lazima,karantini 14 days.
Hamna mliwezalo ila matusi tu, dhihirisho tosha ya uwezo mdogo wa kufikiri....matusi twayaweza pia.....kalb hayawan.
Sio lazima uelewe nilichoandika,wataelewa wenginewewe utakuwa unatumia chokaa kama huwezi kusoma kuwa barua hiyo inasema kwamba uamuzi huo ni matokeo ya reciprocity
ila tunachojua mwenye mbwa ajasema hivi tumemsikia alichosema sasa cc tunaamini maneno ya mwenye mbwakupimwa bado ni lazima,karantini 14 days.
Na mwenye takataka za huko mavumbini takatakaland yuasemaje kuhusu hili?ila tunachojua mwenye mbwa ajasema hivi tumemsikia alichosema sasa cc tunaamini maneno ya mwenye mbwa
Hujaeleweka kutokana ulichoandika sio lugha ya Kiswahili, ila tunataka kunua sababu ipi ilioifanya Kenya kuisafisha TANZANIA kua nchi salamaNa mwenye takataka za huko mavumbini takatakaland yuasemaje kuhusu hili?
kalb hayawan.
Hapo pekundu....hicho ndicho Kiswahili eti?...haya basiHujaeleweka kutokana ulichoandika sio lugha ya Kiswahili, ila tunataka kunua sababu ipi ilioifanya Kenya kuisafisha TANZANIA kua nchi salama