Hatimaye Tanzania imeruhusu KQ kuingia nchini humo

mungiki lazima tushukee.....binafsi nina project zangu apooo bombambili weekend nashukaaa vibaka labda wamenibia nondoo!
Kumbuka sisi hatujakataza binadamu yeyote kukanyaga Tanzania, nyie mlizuia kwa kuweka masharti ambayo sisi baba zenu hatutaki kuyasikia.

Tulizuia ndege zenu kufanya biashara
 
Si mlisema kuwa mtatucharaza viboko. Mlisema kuwa mtatufunza adabu. Mlisema KQ haitatua Dar hadi tupige magoti. Sasa tena mnasongeza goli. Baba yenu ukanda huu anajulikana
Kwani hatujawafunza adabu? Bado mnasema Tanzania ni hatari? Bado mmezuia na kuwaweka karantini watanzania? Bado mmetuzia tusije kwenu?

Tanzania imekuja kuomba mazungumzo na Kenya? Nyie mmeomba mara ngapi na mmepiga simu mara ngapi?
 

Ati malazy!! Interesting to see those who are called lazy do contribute to the daily food in-take of the so called "hard workers"

Salimia Kikuyu highland, sitegemei kusikia pompous allegations toka kwa Luo, Luya and others!!
 
Si mlisema kuwa mtatucharaza viboko. Mlisema kuwa mtatufunza adabu. Mlisema KQ haitatua Dar hadi tupige magoti. Sasa tena mnasongeza goli. Baba yenu ukanda huu anajulikana
- Viboko tumewacharaza tayari mkalia, mkaomba msamaha tukakataa.

- Adabu tayari tumewafunza, tovukeni tena tuwafunze tena.

- Tulisema KQ haitatua Dar hadi mtupigie magoti, mlipiga magoti mara ya kwanza tukakataa, mkapiga tena mara ya pili (kuruhusu Watanzania kuingia kunyaland) ndio tukawakubalia.

Kenya ni mchumba tu kwetu!
 
Na mwenye takataka za huko mavumbini takatakaland yuasemaje kuhusu hili?
kalb hayawan.
Hujaeleweka kutokana ulichoandika sio lugha ya Kiswahili, ila tunataka kunua sababu ipi ilioifanya Kenya kuisafisha TANZANIA kua nchi salama
 
Hujaeleweka kutokana ulichoandika sio lugha ya Kiswahili, ila tunataka kunua sababu ipi ilioifanya Kenya kuisafisha TANZANIA kua nchi salama
Hapo pekundu....hicho ndicho Kiswahili eti?...haya basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…