Hatimaye Tanzania yaipiku Kenya katika FIFA - Football ranking - CAF Zone, Rasmi Tanzania na Uganda ndiyo Giants wa soka East Africa

Hatimaye Tanzania yaipiku Kenya katika FIFA - Football ranking - CAF Zone, Rasmi Tanzania na Uganda ndiyo Giants wa soka East Africa

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
1.JPG

2.JPG

3.JPG

4.JPG

Je, huu ni Mwanzo wa Tanzania kuwa power house of East africa, Kimichezo na Kiuchumi kama ilivyokuwa mwanzoni mwa miaka ya 80's?
 
Hiyo sio nafasi yetu inabidi tupande hadi kwenye top ten so far so good
Tanzania iliyoshinda Jana imejenga statement kubwa sana maana ilikuwa na outsiders wawili pekee tena ambao kimsingi ni local walio advance
Huko afcon tukifika 16 Bora basi tunaweza kupanda zaidi
 
Miaka yooote hii ndiyo tumekuja kuwapiku tena pamoja na kwamba hawajawa active sana kimataifa kwa muda mrefu na bado imechukua muda wote huu.

Kenya wanakuwaga serious zaidi kuliko sisi katika maeneo mengi ya kiuchumi, wakirudi kidogo tu, wanachukua nafasi yao.
 
Miaka yooote hii ndiyo tumekuja kuwapiku tena pamoja na kwamba hawajawa active sana kimataifa kwa muda mrefu na bado imechukua muda wote huu.

Kenya wanakuwaga serious zaidi kuliko sisi katika maeneo mengi ya kiuchumi, wakirudi kidogo tu, wanachukua nafasi yao.
Wakenya wa sasa hamna kazi huko kwenye football, ni hamna walichotuzidi.
 
Hiyo sio nafasi yetu inabidi tupande hadi kwenye top ten so far so good
Tanzania iliyoshinda Jana imejenga statement kubwa sana maana ilikuwa na outsiders wawili pekee tena ambao kimsingi ni local walio advance
Huko afcon tukifika 16 Bora basi tunaweza kupanda zaidi
Afcon Tanzania haiwezi kushinda mchezo wowote
 
Ni jambo la kipuuzi kushangilia nafasi ya 106 kwakua tumeipiku Kenya ambayo Soka lao lilikua katika matatizo kwa muda mrefu.

Tunahitaji wadau wote wa soka kushirikiana kwa mbinu mabalimbali kutoka uku kwenye 100 tuelekee juu zaidi.
 
Miaka yooote hii ndiyo tumekuja kuwapiku tena pamoja na kwamba hawajawa active sana kimataifa kwa muda mrefu na bado imechukua muda wote huu.

Kenya wanakuwaga serious zaidi kuliko sisi katika maeneo mengi ya kiuchumi, wakirudi kidogo tu, wanachukua nafasi yao.
Umekariri kijana
Kenya sasa kwenye soka wanatuzidi nini?

Ligi yao ni kama imekufa, wachezaji wao pia wanataka kuja bongo
 
Ni jambo la kipuuzi kushangilia nafasi ya 106 kwakua tumeipiku Kenya ambayo Soka lao lilikua katika matatizo kwa muda mrefu.

Tunahitaji wadau wote wa soka kushirikiana kwa mbinu mabalimbali kutoka uku kwenye 100 tuelekee juu zaidi.

Nimepitia comment ya kwanza hadi hapa sijaona mdau yoyote aliyeshangilia. Mwenzetu hii post umeisoma vipi?
 
Siasa zao zimeharibu sana michezo , Ukabila nao , rushwa na mambo kama hayo.

Kipindi cha nyuma Kenya walikuwa na timu nzuri sana ya ushindani.

Siku za hivi karibuni wamepitia changamoto nyingi sana .
 
Kwangu kwa soka la Africa tumemaliza kila kitu. Taifa letu siyo kubwa Africa wala Duniani kisoka, mafanikio ya juu kabisa kwa nchi yetu katika soka itakuwa ni kupeperusha bendera kwenye Kombe la Dunia.
Tumemaliza kila kitu kivipi wakati hatujawahi hata kufika CAFCL hatua ya fainali, nusu fainali yenyewe ni toka 1970s. Huko AFCON tumeanza kwenda-kwenda ila hata kupata sare tu ni kimbembe
Umekariri kijana
Kenya sasa kwenye soka wanatuzidi nini?

Ligi yao ni kama imekufa, wachezaji wao pia wanataka kuja bongo
Ranking za FIFA ndiyo wanajua wanatumia vigezo gani ila kama mleta mada alivyosema, pamoja na kwamba hawakuwa active sana ila bado tulishindwa kuwapiku miaka yote hii. Hii itoshe kukwambia hatuna mafanikio kihiivyo kama tunavyojitapa.

Ligi yao inarudi na tena Azam kawekeza kule. Kwanza kusema wachezaji wao wanataka kuja si kigezo maana tuna wachezaji hadi maMVP wa Nigeria na Ivory Coast katika ligi ya NBC. Wachezaji wa Kenya walioko NBC nadhani wanahesabika.
 
Back
Top Bottom