Hawa nao waongo. Mbona kwenye press conference walisema simba wamepokwa point kwa vile hawakulipia rufaa yao?
Kwa hiyo maamuzi yao yametokana na kagera kwaambia kirahisi tu kuwa mchezaji wao hakuwa na kadi tatu? Kama haya ndiyo maamuzi ya kamati ya katiba na sheria. Na kama refa wa kati ripoti ya yake ilionyesha Faki alikuwa na kadi ya njano siku ya mchezo na Lyon basi kwa mujibu wa kanuni za FIFA, maamuzi ya refa kwa kati ni ya mwisho. Hivyo simba watashinda kirahisi hii rufaa FIFA. Ikumbukwe FIFA wanatambua maamuzi ya refa wa kati tu na si yale maelezo ya kagera sugar.