Hatimaye TFF waipa Simba barua ya hukumu na kuwataka waende FIFA

Hatimaye TFF waipa Simba barua ya hukumu na kuwataka waende FIFA

Hawa nao waongo. Mbona kwenye press conference walisema simba wamepokwa point kwa vile hawakulipia rufaa yao?

Kwa hiyo maamuzi yao yametokana na kagera kwaambia kirahisi tu kuwa mchezaji wao hakuwa na kadi tatu? Kama haya ndiyo maamuzi ya kamati ya katiba na sheria. Na kama refa wa kati ripoti ya yake ilionyesha Faki alikuwa na kadi ya njano siku ya mchezo na Lyon basi kwa mujibu wa kanuni za FIFA, maamuzi ya refa kwa kati ni ya mwisho. Hivyo simba watashinda kirahisi hii rufaa FIFA. Ikumbukwe FIFA wanatambua maamuzi ya refa wa kati tu na si yale maelezo ya kagera sugar.
Nendeni FIFA sio kwenye keyboard. Kama hujasoma kipengele kinachosema bodi ilifanya uchunguzi wake na kuwahoji watu mbalimbali, basi una matatizo.
 
Mikia ni wote tu hata yanga ni mikia maana kila wakicheza kimataifa wanashika mkia. Taifa stars ya Malinzi nayo ni mkia ndani ya E.A. Habari ya kuitana mikia mkome kabisa, maana soka la bongo ni kichwa cha mwandawazimu. Tuombe serengeti boys wafute hili tatizo la mkia.
Mbojo acha utani mkuu, mikia wanajulikana kitambo, Na hivi sasa wamejitwalia jina lingine Omba Omba FC a k a Matonya FC. Sasa waende FIFA kwa amani.
 
Huyu mtoa mada anatakiwa ahakikiwe vyeti kama sio vya utumishi basi huenda hata vya kuzaliwa vinashida, au kuoa huenda kagushi au vya uraia hakuna timu Tanzania inayoitwa mikia.
 
Kitu Mungu alitunyima Watz ni vya muhimu sana.... Honesty. .......Intelligency. .....Humanity. ....Understanding. ..... Patient. ...hakuna siku Watz wote watakuja kuja kusimama kwa pamoja kwenye kitu kimoja..cha msingi ni either simba or yanga. .,dai or kiba....ccm or ukawa.....bashite or pastor. ....lema or rc.....le mange or Le mkubwaz .....always 2 sides. ...yaani wazungu walituharibu...kwenye tactic yao ya divide and rule
 
Basi kama munakataa kuitwa mikia basi musiite wenzenu mikia. Maana mimi nawaona wote ni mamikia tu! Hakuna timu ya maana bila kupenyeza rupia.
 
Mtoa mada nina wasiwasi na akili yako, ukapimwe.
Hiyo ni timu gani?
 
Nashukuru kwa kubadilisha heading.Maana kuna watu wanaita wenzao mikia wakati wao nao ni mikia iliyofichwa na TFF.
 
Back
Top Bottom