Hatimaye Treni ya Dar-Arusha imeumaliza mwendo. Ilisaidia sana changamoto ya usafiri, itakumbukwa na wengi

Hatimaye Treni ya Dar-Arusha imeumaliza mwendo. Ilisaidia sana changamoto ya usafiri, itakumbukwa na wengi

Haoni uchungu na mali za Tanganyika kabisa, ila kwa sasa kwao neema tupu, mpaka flyover, viwanja vya mpira kila wilaya bila kuwa na tija, wakati mahitaji makubwa ni huku bara
Chizi mmoja kutoka zenji hukoo
 
View attachment 3029074
Kwenye mtandao wa kukata tiketi za treni ya Deluxe kutoka Dar es Salaam hadi Arusha ni rasmi imekufa. Nakumbuka usafiri huu ulisaidia sana changamoto ya usafiri hasa kwa watu wa kipato cha chini na cha kati.

Hata mimi nilipanda baada ya kuona inasifiwa sana na ilikua na vibe la kweli

Nauli kutoka Dar hadi Moshi daraja la 3 ilikua 16500,kila msafiri aliweza kumudu tofauti na mabasi ambayo ni zaidi ya 40,000.

Mradi huu ambao kabla ya kufufuliwa na Magufuli ulikuwa umekufa kwa miaka zaidi ya 30,rais Magufuli akapambana na kuurudisha pamoja na kukarabati vituo vyote vya mkoloni na kujenga vya kisasa.

Nini kimeuwa ruti hizi? Tukisema ni hujuma za wenye mabasi na malori tutakosea? Au ni uzembe wa serikali tutakosea?

Kwanini mpaka sasa shirika la reli liko kimya kutangazia umma kuwa hiyo ruti imekufa?.

USHAURI WANGU KWA SERIKALI
Kwa kweli nikizoom hali ya sasa ya watumishi wengi serikali si makini kwenye usimamizi. Rejea hali ya mabasi ya haraka (mwendokasi) mradi wa Mbagala umekamilika lakini hakuna magari. Iyo hali ya trc hata SGR muda utaongea tu n.k

Serikali kupitia TRC itoe kibali au ibinafsishe hiyo reli iendeshwe na kampuni au taasisi ya binafsi naamini mambo yatakuwa mazuri sana.


View: https://youtu.be/2dUbS5zZkK0?si=ptd_kKrdlvRH8-RZ

View attachment 3029074
Kwenye mtandao wa kukata tiketi za treni ya Deluxe kutoka Dar es Salaam hadi Arusha ni rasmi imekufa. Nakumbuka usafiri huu ulisaidia sana changamoto ya usafiri hasa kwa watu wa kipato cha chini na cha kati.

Hata mimi nilipanda baada ya kuona inasifiwa sana na ilikua na vibe la kweli

Nauli kutoka Dar hadi Moshi daraja la 3 ilikua 16500,kila msafiri aliweza kumudu tofauti na mabasi ambayo ni zaidi ya 40,000.

Mradi huu ambao kabla ya kufufuliwa na Magufuli ulikuwa umekufa kwa miaka zaidi ya 30,rais Magufuli akapambana na kuurudisha pamoja na kukarabati vituo vyote vya mkoloni na kujenga vya kisasa.

Nini kimeuwa ruti hizi? Tukisema ni hujuma za wenye mabasi na malori tutakosea? Au ni uzembe wa serikali tutakosea?

Kwanini mpaka sasa shirika la reli liko kimya kutangazia umma kuwa hiyo ruti imekufa?.

USHAURI WANGU KWA SERIKALI
Kwa kweli nikizoom hali ya sasa ya watumishi wengi serikali si makini kwenye usimamizi. Rejea hali ya mabasi ya haraka (mwendokasi) mradi wa Mbagala umekamilika lakini hakuna magari. Iyo hali ya trc hata SGR muda utaongea tu n.k

Serikali kupitia TRC itoe kibali au ibinafsishe hiyo reli iendeshwe na kampuni au taasisi ya binafsi naamini mambo yatakuwa mazuri sana.


View: https://youtu.be/2dUbS5zZkK0?si=ptd_kKrdlvRH8-RZ

Wewe utakuwa hujui "business as usual".

Na huo ni mwanzo tu. Hata SGR inaweza isifike mbali!
 
Haoni uchungu na mali za Tanganyika kabisa, ila kwa sasa kwao neema tupu, mpaka flyover, viwanja vya mpira kila wilaya bila kuwa na tija, wakati mahitaji makubwa ni huku bara
Naamini unazungumzia Zanzibar! Zanzibar hakuna fly over mkuu. Mzanzibar akitaka kuyaona hayo makitu sharti atimbe Dar Es Salaam!
 
Haoni uchungu na mali za Tanganyika kabisa, ila kwa sasa kwao neema tupu, mpaka flyover, viwanja vya mpira kila wilaya bila kuwa na tija, wakati mahitaji makubwa ni huku bara
Aliyekuewa na uchungu si mlisema alikuwa mhutu. Nyie mbona mnakuwa vigeugeu?
 
Kama itakwamishwa kwa makusudi au uzembe, basi hata bwawa la Nyerere nalo halitamaliza tatizo la mgawo wa umeme. Itakuwa ni business as usual!
Nyimbo za kumaliza mgawo nimezisikia mda mrefu sana jiwe alijitahidi sana kwenye kujenga uwajibikaji ila kwa Sasa sidhani
 
View attachment 3029074
Kwenye mtandao wa kukata tiketi za treni ya Deluxe kutoka Dar es Salaam hadi Arusha ni rasmi imekufa. Nakumbuka usafiri huu ulisaidia sana changamoto ya usafiri hasa kwa watu wa kipato cha chini na cha kati.

Hata mimi nilipanda baada ya kuona inasifiwa sana na ilikua na vibe la kweli

Nauli kutoka Dar hadi Moshi daraja la 3 ilikua 16500,kila msafiri aliweza kumudu tofauti na mabasi ambayo ni zaidi ya 40,000.

Mradi huu ambao kabla ya kufufuliwa na Magufuli ulikuwa umekufa kwa miaka zaidi ya 30,rais Magufuli akapambana na kuurudisha pamoja na kukarabati vituo vyote vya mkoloni na kujenga vya kisasa.

Nini kimeuwa ruti hizi? Tukisema ni hujuma za wenye mabasi na malori tutakosea? Au ni uzembe wa serikali tutakosea?

Kwanini mpaka sasa shirika la reli liko kimya kutangazia umma kuwa hiyo ruti imekufa?.

USHAURI WANGU KWA SERIKALI
Kwa kweli nikizoom hali ya sasa ya watumishi wengi serikali si makini kwenye usimamizi. Rejea hali ya mabasi ya haraka (mwendokasi) mradi wa Mbagala umekamilika lakini hakuna magari. Iyo hali ya trc hata SGR muda utaongea tu n.k

Serikali kupitia TRC itoe kibali au ibinafsishe hiyo reli iendeshwe na kampuni au taasisi ya binafsi naamini mambo yatakuwa mazuri sana.


View: https://youtu.be/2dUbS5zZkK0?si=ptd_kKrdlvRH8-RZ

Kazi pekee anayo weza 🐸 kiziwi ni kula na kunya tu
 
Mkurugenzi wetu ndugu Masanja Kadogosa anasemaje?
Kadogosa na Waziri Mbalawa wabebe lawama.
 
Sasa imekufaje kabla sijaipanda jamani? Naombea liwe ni suala la muda mfupi irudi kufanya kazi nami nipate experience hiyo.
Kama hujapanda pole sana, niliona huku huku ikabidi nipande asee lilikuwa na vibe sio masihara
 
Hilo sahau mkuu, umeme hautapungua changamoto wala bei, mkazo uko pale pale
Kama itakwamishwa kwa makusudi au uzembe, basi hata bwawa la Nyerere nalo halitamaliza tatizo la mgawo wa umeme. Itakuwa ni business as usual!
 
M
Mkurugenzi wetu ndugu Masanja Kadogosa anasemaje?
Kadogosa na Waziri Mbalawa wabebe lawama.
Kuu uzembe ni mkubwa serikalini tofauti na alivyokuwa mwenda zake
 
Natamani kuandika ila nikiwaza ya Sativa naona acha tu nikae kimya. Mama mitano tena
 
Haoni uchungu na mali za Tanganyika kabisa, ila kwa sasa kwao neema tupu, mpaka flyover, viwanja vya mpira kila wilaya bila kuwa na tija, wakati mahitaji makubwa ni huku bara
Ila Wana uchungu na watu kulipa Kodi ,kuzisimamia ni mtihani
 
Kwann usisuburi ruti ya Central na na kasikazini zote zitangazwe zimekufa ,punguza haraka
 
Back
Top Bottom