tunduma001
JF-Expert Member
- Jun 7, 2021
- 403
- 762
Chizi mmoja kutoka zenji hukooHaoni uchungu na mali za Tanganyika kabisa, ila kwa sasa kwao neema tupu, mpaka flyover, viwanja vya mpira kila wilaya bila kuwa na tija, wakati mahitaji makubwa ni huku bara
View attachment 3029074
Kwenye mtandao wa kukata tiketi za treni ya Deluxe kutoka Dar es Salaam hadi Arusha ni rasmi imekufa. Nakumbuka usafiri huu ulisaidia sana changamoto ya usafiri hasa kwa watu wa kipato cha chini na cha kati.
Hata mimi nilipanda baada ya kuona inasifiwa sana na ilikua na vibe la kweli
Nauli kutoka Dar hadi Moshi daraja la 3 ilikua 16500,kila msafiri aliweza kumudu tofauti na mabasi ambayo ni zaidi ya 40,000.
Mradi huu ambao kabla ya kufufuliwa na Magufuli ulikuwa umekufa kwa miaka zaidi ya 30,rais Magufuli akapambana na kuurudisha pamoja na kukarabati vituo vyote vya mkoloni na kujenga vya kisasa.
Nini kimeuwa ruti hizi? Tukisema ni hujuma za wenye mabasi na malori tutakosea? Au ni uzembe wa serikali tutakosea?
Kwanini mpaka sasa shirika la reli liko kimya kutangazia umma kuwa hiyo ruti imekufa?.
USHAURI WANGU KWA SERIKALI
Kwa kweli nikizoom hali ya sasa ya watumishi wengi serikali si makini kwenye usimamizi. Rejea hali ya mabasi ya haraka (mwendokasi) mradi wa Mbagala umekamilika lakini hakuna magari. Iyo hali ya trc hata SGR muda utaongea tu n.k
Serikali kupitia TRC itoe kibali au ibinafsishe hiyo reli iendeshwe na kampuni au taasisi ya binafsi naamini mambo yatakuwa mazuri sana.
View: https://youtu.be/2dUbS5zZkK0?si=ptd_kKrdlvRH8-RZ
Wewe utakuwa hujui "business as usual".View attachment 3029074
Kwenye mtandao wa kukata tiketi za treni ya Deluxe kutoka Dar es Salaam hadi Arusha ni rasmi imekufa. Nakumbuka usafiri huu ulisaidia sana changamoto ya usafiri hasa kwa watu wa kipato cha chini na cha kati.
Hata mimi nilipanda baada ya kuona inasifiwa sana na ilikua na vibe la kweli
Nauli kutoka Dar hadi Moshi daraja la 3 ilikua 16500,kila msafiri aliweza kumudu tofauti na mabasi ambayo ni zaidi ya 40,000.
Mradi huu ambao kabla ya kufufuliwa na Magufuli ulikuwa umekufa kwa miaka zaidi ya 30,rais Magufuli akapambana na kuurudisha pamoja na kukarabati vituo vyote vya mkoloni na kujenga vya kisasa.
Nini kimeuwa ruti hizi? Tukisema ni hujuma za wenye mabasi na malori tutakosea? Au ni uzembe wa serikali tutakosea?
Kwanini mpaka sasa shirika la reli liko kimya kutangazia umma kuwa hiyo ruti imekufa?.
USHAURI WANGU KWA SERIKALI
Kwa kweli nikizoom hali ya sasa ya watumishi wengi serikali si makini kwenye usimamizi. Rejea hali ya mabasi ya haraka (mwendokasi) mradi wa Mbagala umekamilika lakini hakuna magari. Iyo hali ya trc hata SGR muda utaongea tu n.k
Serikali kupitia TRC itoe kibali au ibinafsishe hiyo reli iendeshwe na kampuni au taasisi ya binafsi naamini mambo yatakuwa mazuri sana.
View: https://youtu.be/2dUbS5zZkK0?si=ptd_kKrdlvRH8-RZ
Naamini unazungumzia Zanzibar! Zanzibar hakuna fly over mkuu. Mzanzibar akitaka kuyaona hayo makitu sharti atimbe Dar Es Salaam!Haoni uchungu na mali za Tanganyika kabisa, ila kwa sasa kwao neema tupu, mpaka flyover, viwanja vya mpira kila wilaya bila kuwa na tija, wakati mahitaji makubwa ni huku bara
Pole! Itarudi siku Watanganyika wakiamua, na wewe ni mmoja wa Watanganyika!Sasa imekufaje kabla sijaipanda jamani? Naombea liwe ni suala la muda mfupi irudi kufanya kazi nami nipate experience hiyo.
Kama itakwamishwa kwa makusudi au uzembe, basi hata bwawa la Nyerere nalo halitamaliza tatizo la mgawo wa umeme. Itakuwa ni business as usual!Sio hiyo tu hata hii ya umeme mbona italala Chali hapa ndio tz
Hapo watu wamegawana fito
Aliyekuewa na uchungu si mlisema alikuwa mhutu. Nyie mbona mnakuwa vigeugeu?Haoni uchungu na mali za Tanganyika kabisa, ila kwa sasa kwao neema tupu, mpaka flyover, viwanja vya mpira kila wilaya bila kuwa na tija, wakati mahitaji makubwa ni huku bara
Nyimbo za kumaliza mgawo nimezisikia mda mrefu sana jiwe alijitahidi sana kwenye kujenga uwajibikaji ila kwa Sasa sidhaniKama itakwamishwa kwa makusudi au uzembe, basi hata bwawa la Nyerere nalo halitamaliza tatizo la mgawo wa umeme. Itakuwa ni business as usual!
Kazi pekee anayo weza 🐸 kiziwi ni kula na kunya tuView attachment 3029074
Kwenye mtandao wa kukata tiketi za treni ya Deluxe kutoka Dar es Salaam hadi Arusha ni rasmi imekufa. Nakumbuka usafiri huu ulisaidia sana changamoto ya usafiri hasa kwa watu wa kipato cha chini na cha kati.
Hata mimi nilipanda baada ya kuona inasifiwa sana na ilikua na vibe la kweli
Nauli kutoka Dar hadi Moshi daraja la 3 ilikua 16500,kila msafiri aliweza kumudu tofauti na mabasi ambayo ni zaidi ya 40,000.
Mradi huu ambao kabla ya kufufuliwa na Magufuli ulikuwa umekufa kwa miaka zaidi ya 30,rais Magufuli akapambana na kuurudisha pamoja na kukarabati vituo vyote vya mkoloni na kujenga vya kisasa.
Nini kimeuwa ruti hizi? Tukisema ni hujuma za wenye mabasi na malori tutakosea? Au ni uzembe wa serikali tutakosea?
Kwanini mpaka sasa shirika la reli liko kimya kutangazia umma kuwa hiyo ruti imekufa?.
USHAURI WANGU KWA SERIKALI
Kwa kweli nikizoom hali ya sasa ya watumishi wengi serikali si makini kwenye usimamizi. Rejea hali ya mabasi ya haraka (mwendokasi) mradi wa Mbagala umekamilika lakini hakuna magari. Iyo hali ya trc hata SGR muda utaongea tu n.k
Serikali kupitia TRC itoe kibali au ibinafsishe hiyo reli iendeshwe na kampuni au taasisi ya binafsi naamini mambo yatakuwa mazuri sana.
View: https://youtu.be/2dUbS5zZkK0?si=ptd_kKrdlvRH8-RZ
Watanganyika wanao uwezo wa kulitokomeza hilo wakiamua.Hilo sahau mkuu, umeme hautapungua changamoto wala bei, mkazo uko pale pale
Ila Wana uchungu na watu kulipa Kodi ,kuzisimamia ni mtihaniHaoni uchungu na mali za Tanganyika kabisa, ila kwa sasa kwao neema tupu, mpaka flyover, viwanja vya mpira kila wilaya bila kuwa na tija, wakati mahitaji makubwa ni huku bara