Hatimaye TUICO Yaingia Kilombero Sugar Co. Ltd

Hatimaye TUICO Yaingia Kilombero Sugar Co. Ltd

Mwinjilist mtume nabii

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
2,437
Reaction score
1,097
Baada Ya Kuwa Na Vitisho Kutoka Kwa Mwajiri Na Wajumbe Wa Chama Kilichokuwepo Cha Tpawu, Sasa Tuico Wamepewa Kibali Cha Kuwepo Kwny Ajira Ilyoanza Juzi.

Jamani Tunaomba Msaada Wa Kisheria Maana Kumekuwa Na Maneno Kuwa, Kama Chama Cha TPAWU kitakuwa na majority na kuendelea kuwa wawakilishi wa wafanyakazi, basi wafanyakazi watakaokuwa TUICO watakatwa michango mara 2, TPAWU NA TUICO, eti kwa sbb TPAWU italazimika kuwawakilisha wote, je iyo ni sheria?

Maana baadhi ya watu wanaogopa, please? Maana Ktk Ajira Ilyofanyika Wiki Ilyopita Kati Ya Watu 150, Tpawu Wamepata Watu 2 Tu, Wengne Wote Wameingia Tuico
 
bINAFSI nina shukuru kwa kuwa na wadau mnao fuatilia swala la haki za watumishi hasa hapo ILLOVO (KSC ).

NAUNGANA NAWE; kuomba apatikane mwanasheria kusaidia kudadavua hii mada. hata hivyo nina shauri jitahidi kuwasiliana na ofisi za watu wa LABOR zilizopo hapo jirani wanaweza kutoa ufafanuzi wa kuanzia.
 
Baada Ya Kuwa Na Vitisho Kutoka Kwa Mwajiri Na Wajumbe Wa Chama Kilichokuwepo Cha Tpawu, Sasa Tuico Wamepewa Kibali Cha Kuwepo Kwny Ajira Ilyoanza Juzi.

Jamani Tunaomba Msaada Wa Kisheria Maana Kumekuwa Na Maneno Kuwa, Kama Chama Cha TPAWU kitakuwa na majority na kuendelea kuwa wawakilishi wa wafanyakazi, basi wafanyakazi watakaokuwa TUICO watakatwa michango mara 2, TPAWU NA TUICO, eti kwa sbb TPAWU italazimika kuwawakilisha wote, je iyo ni sheria?

Maana baadhi ya watu wanaogopa, please? Maana Ktk Ajira Ilyofanyika Wiki Ilyopita Kati Ya Watu 150, Tpawu Wamepata Watu 2 Tu, Wengne Wote Wameingia Tuico

Njooni ofisini kwetu tuwasaidie kisheria sio free lunch
 
Back
Top Bottom