Wakuu,
Habari za asubuhi,
Hayati Magufuli alikuwa anaona mbali sana kuhusu hili gonjwa la corona, japo baadhi ya watu wa ndani ya nchi, mataifa jirani na nchi za magharibu walikuwa wakibeza sana misimamo yake.
Mshauli mkuu wa masuala kiafya wa uingereza kaona kujifungia ndani/lockdown haitasaidia kuondoa ugonjwa huu, bali jamii waukabili tu kama magonjwa mengine ya mafua.
Soma hii: Top UK health adviser admits lockdowns won't make Covid disappear & society will have to ‘manage it like the flu’
R.I.P hayati Magu, ulikuwa unaona mbali sana, our hero and genius president we had ever seen in our life. I still doubt your death wasn't a natural one, somewhere rogue elements were behind it.
Best,
Kejuu
Habari za asubuhi,
Hayati Magufuli alikuwa anaona mbali sana kuhusu hili gonjwa la corona, japo baadhi ya watu wa ndani ya nchi, mataifa jirani na nchi za magharibu walikuwa wakibeza sana misimamo yake.
Mshauli mkuu wa masuala kiafya wa uingereza kaona kujifungia ndani/lockdown haitasaidia kuondoa ugonjwa huu, bali jamii waukabili tu kama magonjwa mengine ya mafua.
Soma hii: Top UK health adviser admits lockdowns won't make Covid disappear & society will have to ‘manage it like the flu’
R.I.P hayati Magu, ulikuwa unaona mbali sana, our hero and genius president we had ever seen in our life. I still doubt your death wasn't a natural one, somewhere rogue elements were behind it.
Best,
Kejuu