Hatimaye Uingereza yanyoosha mikono na kupendekeza kufuata nyayo za hayati Magufuli kuhusu kupambana na Corona

Hatimaye Uingereza yanyoosha mikono na kupendekeza kufuata nyayo za hayati Magufuli kuhusu kupambana na Corona

sasa kama kila mtu atakufa na unajua whats so special na magufuli kutangulia?? kwamba wewe uliebaki ndo utaishi milele ama? ndo mbowe anavowaambia?
We are talking about covid and the best way to manage it dude! We cannot ignore it because we have to die as all living things do! Why we go to the hospitals when we are sick then... Unakuwa kama wale Wasadikika ambao Shaaban Robert aliwazungumzia kwenye kitabu cha Kusadikika! Walikuwa wanaona hakuna umuhimu wa kujenga nyumba za aushi eti kwa sababu maisha ya mwanadamu ni mafupi hivyo kujenga nyumba za aushi ni hasara tupu!
 
We are talking about covid and the best way to manage it dude! We cannot ignore it because we have to die as all living things do! Why we go to the hospitals when we are sick then... Unakuwa kama wale Wasadikika ambao Shaaban Robert aliwazungumzia kwenye kitabu cha Kusadikika! Walikuwa wanaona hakuna umuhimu wa kujenga nyumba za aushi eti kwa sababu maisha ya mwanadamu ni mafupi hivyo kujenga nyumba za aushi ni hasara tupu!

we have decided to go with our own way whats wrong with that? kwan lazima WHO iwe right all the time
 
Hao wanaojaribu kwa jitihada zote kupambana na huu ugonjwa bado tunaona wanakufa na tunasikia maambukizi yanazidi maana yake ni kwamba sisi ambao hatuchukui tahadhari kama hao wenzetu(kiasi kwamba wewe unadai kuwa sisi tunakufa kwa mamia) basi hadi sasa tungeshafikia hatua ya hospitali kuzidiwa wagonjwa au hata kuokota miili barabarani kama ambavyo mwanzoni wengine walifikiri hivyo kwa kuangalia kilichotokea huko ulaya na uduni wa huduma zetu za afya.

Tatizo lipo kwenye uhalisia wa hali ya huo ugonjwa wenyewe ni tofauti na vile mnavyotaka tuhamaki. Hizi story za kudai mamia ya watu wanakufa Tz kwa corona zipo toka mwaka jana,sasa jinsi ugonjwa wenyewe ulivyo na unavyoambukiza kwa kasi halafu iwe kwamba mamia ya watu wanakufa toka mwaka jana hivi kweli hali ingekuaje hivi sasa? mara ngapi tunaona mikusanyiko ya watu kama juzi kati kwenye kuaga mwili wa Magufuli ila hatuoni kwamba matukio hayo huongeza wingi wa wagonjwa au vifo huku uraiani.

we have decided to go with our own way whats wrong with that? kwan lazima WHO iwe right all the time
BTW what is ''our own way''? The foolish way? Usituletee utapiamlo wako wa akili na useme ''our''. Ni wapumbavu wachache tu ndiyo wanaona hivyo. Wewe na wachache. Anyways, yule aliyekuwa anawajaza uinga ameshaondoka mambo yatabadilika soon, penda usipende.
 
BTW what is ''our own way''? The foolish way? Usituletee utapiamlo wako wa akili na useme ''our''. Ni wapumbavu wachache tu ndiyo wanaona hivyo. Wewe na wachache. Anyways, yule aliyekuwa anawajaza uinga ameshaondoka mambo yatabadilika soon, penda usipende.

ungekua umeshajiweka lockdown mwenyewe so far mpaka sasahv kama hauendi na agenda ya magufuli, but as long haupo lockdown then nyamazisha hua msabwanda
 
ungekua umeshajiweka lockdown mwenyewe so far mpaka sasahv kama hauendi na agenda ya magufuli, but as long haupo lockdown then nyamazisha hua msabwanda
Unaona wenye utapiamlo wa akili walivyo kama mwendazake kichwani. Kwanza lockdown maana yake ni nini? Ni wabongo wengi wanaopenda sana kulikariri na kulitumia hili neno lakini maana hawajui. Haya elezea kwa kifipi sana maana yake ni nini?
 
Unaona wenye utapiamlo wa akili walivyo kama mwendazake kichwani. Kwanza lockdown maana yake ni nini? Ni wabongo wengi wanaopenda sana kulikariri na kulitumia hili neno lakini maana hawajui. Haya elezea kwa kifipi sana maana yake ni nini?

save off my time
 
BTW what is ''our own way''? The foolish way? Usituletee utapiamlo wako wa akili na useme ''our''. Ni wapumbavu wachache tu ndiyo wanaona hivyo. Wewe na wachache. Anyways, yule aliyekuwa anawajaza uinga ameshaondoka mambo yatabadilika soon, penda usipende.
Yabadilike tu ila watanzania hawatobadilika watabaki kuwa walewale tu.
 
save off my time
...And I can assure you one thing. After few says you goner call yourself idiot. Thing are changing so fast... soon our covid-19's foolish Magufuli's utopia will be things of the past so do yours!
 
Yabadilike tu ila watanzania hawatobadilika watabaki kuwa walewale tu.
Siasa za covid zinabadilika thanks God tunaachana na upumbavu waliokuwa wamejazwa watanzania wengi kama wewe. Chanjo zinakuja, mambo yanabadilika kwa kasi ya ajabu.
 
Haya umemsikia Raisi wako alicho kisema leo kuhusu Corona it means Jiwe alikuwa Analipeleka Taifa shimoni .

MATAGA kweli akili hamna yaani mlikuwa mna interact kabisa ule ujinga wa Jiwe !? [emoji3][emoji3]
 
...And I can assure you one thing. After few says you goner call yourself idiot. Thing are changing so fast... soon our covid-19's foolish Magufuli's utopia will be things of the past so do yours!

aya tumekuskia,
 
Siasa za covid zinabadilika thanks God tunaachana na upumbavu waliokuwa wamejazwa watanzania wengi kama wewe. Chanjo zinakuja, mambo yanabadilika kwa kasi ya ajabu.
Nimekwambia mabadiliko kwenye serikali lazima tu yafanyike ila watanzania wataendelea kuwa vilevile hawatobadilika,tatizo watu mnashindwa kuelewa mnafikiri hivi walivyo watanzania kuhusiana na covid ni kwa sababu ya Magufuli.
 
Nimekwambia mabadiliko kwenye serikali lazima tu yafanyike ila watanzania wataendelea kuwa vilevile hawatobadilika,tatizo watu mnashindwa kuelewa mnafikiri hivi walivyo watanzania kuhusiana na covid ni kwa sababu ya Magufuli.
Kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni kwa sababu ya uongozi. Kuna hatua alipaswa kuchukuwa. Ni nyingi tu na haziusiana na tabia za watu. Anyways ni vizuri sasa mabadiliko yanakuna hivyo tuone ni nini kitafanyika.
 
Haya umemsikia Raisi wako alicho kisema leo kuhusu Corona it means Jiwe alikuwa Analipeleka Taifa shimoni .

MATAGA kweli akili hamna yaani mlikuwa mna interact kabisa ule ujinga wa Jiwe !? [emoji3][emoji3]
Ingekuwa hivyo hadi sasa tusingekuwa tunaona vikao vyao bila hata barakoa tena ndani ya ikulu,sasa sijui utasema kwamba anasubiri hadi aunde hiyo sijui kamati ndio ifanye uchunguzi na kuwaambia waanze kuvaa barakoa? Yule mama waziri wa mambo ya nje nilimuona kavaa barakoa wakati alipoenda kuapa bungeni ila alipoenda kuapa dodoma hakuvaa barakoa na hata leo pia hakuvaa barakoa,hapa kinachota kufanywa ni kurudisha tu mahusiano mazuri tu Kimataifa ila si kwamba yupo serious na covid.
 
Kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni kwa sababu ya uongozi. Kuna hatua alipaswa kuchukuwa. Ni nyingi tu na haziusiana na tabia za watu. Anyways ni vizuri sasa mabadiliko yanakuna hivyo tuone ni nini kitafanyika.
Hadi leo huyo Mama pamoja na wasaidizi wale hawajavaa hata barakoa hivyo ni wazi hicho kitakachokuja kufanyika ni kuwafurahisha tu wazungu kama wafanyavyo Kenya huko.
 
Ingekuwa hivyo hadi sasa tusingekuwa tunaona vikao vyao bila hata barakoa tena ndani ya ikulu,sasa sijui utasema kwamba anasubiri hadi aunde hiyo sijui kamati ndio ifanye uchunguzi na kuwaambia waanze kuvaa barakoa? Yule mama waziri wa mambo ya nje nilimuona kavaa barakoa wakati alipoenda kuapa bungeni ila alipoenda kuapa dodoma hakuvaa barakoa na hata leo pia hakuvaa barakoa,hapa kinachota kufanywa ni kurudisha tu mahusiano mazuri tu Kimataifa ila si kwamba yupo serious na covid.
[emoji3][emoji3]Ngoja nikuache kwanza
 
Haya umemsikia Raisi wako alicho kisema leo kuhusu Corona it means Jiwe alikuwa Analipeleka Taifa shimoni .

MATAGA kweli akili hamna yaani mlikuwa mna interact kabisa ule ujinga wa Jiwe !? [emoji3][emoji3]
Hamna cha ujinga tokea watangaze third wave kwa nchi za ulaya ,nchi nyingi za Ulaya zimeandamana kupinga Lockdown.

US mwezi napo mwezi wanne wanaifungua baadhi ya majimbo,mfano lakers na clippers mechi watakazo cheza April 15,mashabiki wataanza kuruhusiwa ila idadi hawaja taja.

Na ukitizama US still bado wanadondoka so huu ugonjwa upo na utaendelea kuwepo so kujifunza kuishi nao.

Kuhusu chanjo tunarudi kule kule aliposema Magu "Tusubirie huku tukiangalia ufanisi wa hizi chanjo kwa nchi nyingine then tuagizie".Hizi chanjo hata ukitumia ziku kudhuru hata ukifungua kesi madai hulipwi.Astrazaneca nchi nyingi wamezisitisha kwanza kwa watu wenye umri wa chini ya miaka 60 sababu ya kuganda kwa damu,Pfizer nazo CNN juzi wametangaza zinatoa kinga kwa miezi sita.

Brazil nae juzi kachukua chanjo iliyo tengenezwa Russia (Sputnik V efficiency 92%) 10 mil dozi,ambayo inchi nyingi za ulaya wanaikandia kwa ajili ya kuwapa raia wake.Tusubirie hii majibu yake kwa watu wa Brazil,japo huu ugonjwa nao ushaingia siasa za Kimagharibi na Russia.

Na hapo bado hatujui -ve side effects za mda mrefu za hizi chanjo,tuombe Mungu huko mbele zisilete madhara.

Kenya wameagiza dozi za Astrazaneca zaidi ya laki 8 ila kwa mujibu wa BBC swahili wauguzi wengi wamekataa kuchoma,wamewapa wagonjwa sasa sijajua na hawa wauguzi wa Kenya nao ni Mataga?.

Ktk swala hili la Corona hata mkiponda Magu na watu wanao msapoti,ila ukweli Magu alikuwa mbele ya Muda,kwani usishangae kuna siku EU na WHO wakatangaza tenth wave of Covid sasa sijui itakuwa mwaka gani.
 
Back
Top Bottom