JPM alikuwa Kiongozi bana kwny Misimamo
Hii Corona ingekuja wakati wa Samia na Liberata Mulamula saa hizi tungekuwa tushadungwa chanjo na Mi lock down ya kufa mtu
Samia angekuwa rais wa awamu ya 5 Kijazi + JPM + Mahiga + ndugu na jamaa zetu wengi walio aga dunia kwa sababu ya kirusi huyu wangekwa hai leo.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Labda kwa sasa corona imekuwa ni tiba ya magonjwa mengine kama malaria, ukimwi, BP, kisukari, ajali, nk.Uliisoma ripoti za madaktari au ndio oya oya?
Ina magonjwa mengine yapo likizo yame pumzika kuua?
Ficha upumbavu wewe kilaza.
JPM WAS A HERO. RIP JEMBE LETU
Kumbuka hawa watakuwa wamechanja na hiivyo no need ya lockdown maana they will not develop severe disease, nor hospitalization, sas katika hali hiyo why lockdown?
JPM WAS A HERO. RIP JEMBE LETU
MATAGA mwaka huu lazima mtagishwe tu.
JPM WAS A HERO. RIP JEMBE LETU
Huyo mleta uzi bado yupo kwenye njozi za hapa kazi tuuuKumbuka hawa watakuwa wamechanja na hiivyo no need ya lockdown maana they will not develop severe disease, nor hospitalization, sas katika hali hiyo why lockdown?
Hayo ndiyo majitu majinga ambayo hata yapo tayari nikwamisha rais wetu asifanikiwe kisa kayakataaKweli kabisa [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hapo ndio kwenye utata,yani kwanini corona iwe inawapata hao viongozi ila inawaacha hawa wazee huku mtaani kwenye vijiwe vya kahawa? maana hawa wazee huku mitaani ndio wanajichanganya zaidi kuliko hao viongozi, sisemi hakuna corona ila ni wazi kuna kitu hatujakijua bado kuhusu hichi kinachoitwa corona. Kuna watu nawajua ambao wako makini na kujikinga na corona ila ndio wanaugua hiyo corona ila hawa wasiochukua taadhari ambao wengine ni wazee na wana magonjwa yao hatuoni kuugua.Mbona Seif kafa kwa korona? Au wewe unaishi maisha mazuri hapo kariakoo kuliko makamo wa kwanza mwenye kin’gora?
Jitoe tu ufahamu
Hewa ni ile ile, yao sio spesho ofa.Kweli MATAGA hamna aibu kujilinganisha na UK
Hoja kama hiyo ndio maana mnaambiwa kuwa huko Ulaya na America kwenye lockdown na tahadhari zote ila bado wanakufa,waziri mkuu wa uingereza nusu afe halafu wewe unasema sijui Kijazi na Magu wasingekufa.Samia angekuwa rais wa awamu ya 5 Kijazi + JPM + Mahiga + ndugu na jamaa zetu wengi walio aga dunia kwa sababu ya kirusi huyu wangekwa hai leo.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Ndiyo maana mmetupiwa virago na sasa mnawaya wayaHewa ni ile ile, yao sio spesho ofa.
Unachokiongea kina usahihi kabisa na hata mimi nilishaliona.Hapo ndio kwenye utata,yani kwanini corona iwe inawapata hao viongozi ila inawaacha hawa wazee huku mtaani kwenye vijiwe vya kahawa? maana hawa wazee huku mitaani ndio wanajichanganya zaidi kuliko hao viongozi, sisemi hakuna corona ila ni wazi kuna kitu hatujakijua bado kuhusu hichi kinachoitwa corona. Kuna watu nawajua ambao wako makini na kujikinga na corona ila ndio wanaugua hiyo corona ila hawa wasiochukua taadhari ambao wengine ni wazee na wana magonjwa yao hatuoni kuugua.
hehehehe kunywa maji dogo mtamkubali tuFicha upumbavu wewe kilaza.