MATAGA mwaka huu lazima mtagishwe tu.
Sasa hivi tupo kwenye maombolezo ya JPM hivyo tuliza akili zako.
Mwache mwendazake apumzike
who knows whats next kama mwanzo ndo huu watu hawataki ata kuiskiaKumbuka hawa watakuwa wamechanja na hiivyo no need ya lockdown maana they will not develop severe disease, nor hospitalization, sas katika hali hiyo why lockdown?
Nani wakubali? Ni mjinga tu atakayesifia approach ya marehemu ilisababisha mamia ya vifo na mpaka yeye akafa kwa corona.hehehehe kunywa maji dogo mtamkubali tu
Sasa hivi MATAGA tulieni tuwagonge spana vya kutoshayalikua maono yake pia mda mrefu kabla hata wengine hawajakubaliana nae
Kitu ambacho hujui ni kuwa corona ukiibeza basi inaanza kukubandua wewewho knows whats next kama mwanzo ndo huu watu hawataki ata kuiskia
Point ni kwamba tunaishi nayo tu kama magonjwa mengine ambayo nayo yana sababisha mamia ya vifo,tungekuwa tunaokota miili barabarani hapo kweli ila sasa tunaishi nayo tu.Nani wakubali? Ni mjinga tu atakayesifia approach ya marehemu ilisababisha mamia ya vifo na mpaka yeye akafa kwa corona.
Nani wakubali? Ni mjinga tu atakayesifia approach ya marehemu ilisababisha mamia ya vifo na mpaka yeye akafa kwa corona.
Sasa hivi MATAGA tulieni tuwagonge spana vya kutosha
Kitu ambacho hujui ni kuwa corona ukiibeza basi inaanza kukubandua wewe
Mwenyekiti wenu yuko wapi?we bdala ukampige spana mwenye kiti wenu ambae anaongoza mwaka wa 20 sasa na hataki kuguswa mnahangaika na watu wenye vitambi
Nakuombea ikufyekeleeee mbalitoka corona imeanza sjawahi kuvaa mask, sjawahi kupata any effects za corona na nafanya check up mara kwa mara! we vaa barakoa usije aga mapema
π€£ π€£ π€£ π€£Mpaka uokote miili barabarani ndiyo uone watu wanakufa? Kweli akili za watu wengine ni vigumu kuelezea! Sasa kama kuna magonjwa mengine yanasababisha mamia ya vifo huoni ni vizuri kutoongeza tena vifo vingine vinavyoweza kuepukika? Anyways marehemu alikuwa anabeza hivi hivi na kusema mbona wazungu wanakufa, sijui tutaishi nayo kama tunavyoishi na magonjwa mengine matokeo yake ikaja kumwondoa na yeye.Point ni kwamba tunaishi nayo tu kama magonjwa mengine ambayo nayo yana sababisha mamia ya vifo,tungekuwa tunaokota miili barabarani hapo kweli ila sasa tunaishi nayo tu.
Wanaosema Magufuli alikufa kwa corona ni wapinzani? Akili zetu mmempa nani awashikie? Wapinzani ndiyo walimuambukiza virus? Upumbavu mwingine bwana. Haya alikufa kwa ugonjwa wa moyo. Furahia sasa!kwahio magufuli alikufa kwa corona? π π π π ni bora nlihamaga upinzani mapema sana
Mwenyekiti wenu yuko wapi?
π π π π π mnatia huruma! na muendelee kugoma ivo ivo kushiriki uchaguziNakuombea ikufyekeleeee mbali
Wanaosema Magufuli alikufa kwa corona ni wapinzani? Akili zetu mmempa nani awashikie? Wapinzani ndiyo walimuambukiza virus? Upumbavu mwingine bwana. Haya alikufa kwa ugonjwa wa moyo. Furahia sasa!