Hatimaye ukweli wabainika, Tunda na Selena Gomez ni mapacha

Huyu mbongo ndo nani?? Mnampigia promo kiasi hiki??
 
Usipende kutukana watu pasi na sababu ya msingi si uungwana hata kidogo , alafu vile vile ni dalili ya uoga ukiweza nitukane tukiwa ana kwa ana ntakuona bonge la shujaa
Ningukuwa ninajua unapokaa ningekuambia ana kwa ana
 
Mara kwa mara umekuwa ukiweka hapa thread ya Tunda!

Amekulipa sh. Ngap? Maana kwa promo hii unayompigia daily ni hatari
 
Mara kwa mara umekuwa ukiweka hapa thread ya Tunda!

Amekulipa sh. Ngap? Maana kwa promo hii unayompigia daily ni hatari
Ushabiki tu kama wale wanaoweka special thread kwa watu wanaowaelewa, mbona kuna mdau kafungua special thread kwa ajili ya rayvan kwan naye analipwa??

Pia kuna wengine huko nyuma walifungua special thread kwa ajili ya diamond na mwingine alifungua special thread kwa ajili ya king majuto

Hiyo ndio kazi ya celebrities forum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…