samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
nini cha muhimu alichofanya kinachothibitisha anafaa kuwa mbunge wa Tanga?.
Ubunge tusiufanye kama kazi ya kupeleka taarifa tu bungeni, Pia tujitahidi wabunge wawe na akili zakuanzisha au kutatua baadhi ya matatizo yetu kabla ya kuitegemea serikali..
Ubunge tusiufanye kama kazi ya kupeleka taarifa tu bungeni, Pia tujitahidi wabunge wawe na akili zakuanzisha au kutatua baadhi ya matatizo yetu kabla ya kuitegemea serikali..