Mbigirikavu
Senior Member
- Aug 19, 2022
- 101
- 118
Kikao cha Bodi ya Wakurugenzi juzi, kimeamua kuleta furaha kwa wana Simba kwa kukisuka vilivyo kikosi cha Simba SC.
Baada ya kutambulisha kocha wa makipa na wa viungo, wataleta kocha mkuu, mtaalamu wa kuwasoma wapinzani, na wachezaji wanne:
Source: Sports Arena
Tusubiri tuone aina ya makocha na aina ya wachezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kutambulisha kocha wa makipa na wa viungo, wataleta kocha mkuu, mtaalamu wa kuwasoma wapinzani, na wachezaji wanne:
- Washambuliaji wawili.
- Kiungo mkabaji.
- Beki wa pembeni.
Source: Sports Arena
Tusubiri tuone aina ya makocha na aina ya wachezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app