Mbigirikavu
Senior Member
- Aug 19, 2022
- 101
- 118
Nyie wala mihogo ndiyo zero brain kabisa.Angalau wamesema kweli kuliko kusingizia wenzao wana toa Bahasha na kukwepa ukweli kuwa timu ile imekaa muda mrefu kwa pamoja. Hawa Makolo Bwanji wana IQ ndogo sana.
Mleteni manzoki, beki wa kati, beki wa pembeni na kiungo mkabaji.
namba tisa,kiungo mkabaji ndo watu wanaokosekana kwa sasa pale.Beki wa kati wa nini?mabeki wote hao
Beki wa kati pale kwa mechi za kimataifa ni mmoja tu, Inonga. Hao wengine ni wa kucheza ligi kuu.Beki wa kati wa nini?mabeki wote hao
Simba mnashinda 5,4 sasa mna haja gani ya kuboresha kikosi?
Jibu ni kuwa mmeona hizo figisu zenu hazina faida..
Sasa Mnafikiria na nyie mwende ki uhalisia kama sisi,tuliwaambia siku nyingi usajiri bora unalipa.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Mnaumia sanaHizi story ni za kujipa tu moyo
namba tisa,kiungo mkabaji ndo watu wanaokosekana kwa sasa pale.
Hizi story ni za kujipa tu moyo
Simba mnashinda 5,4 sasa mna haja gani ya kuboresha kikosi?
Jibu ni kuwa mmeona hizo figisu zenu hazina faida..
Sasa Mnafikiria na nyie mwende ki uhalisia kama sisi,tuliwaambia siku nyingi usajiri bora unalipa.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app