Mbowe yuko kwenye system.Step by step,kwenye kupigania hivivyama CCM,CHADEMA,ACT n,k mtu unafunguka kwa tahadhari kubwa,wanasiasa wote wa bongo ni wasaka tonge,awe CCM ama vyama vingine.
Wewe nini? Aite press ili iweje?Daaaah, katibu mkuu aite press aeleze nini kimejiri!
Hii kitu mbona imekuwa ghafla hivi? Kuna nini kinaendelea?
Hii ndio kukuonyesha kuwa, wanasiasa na vyama ni njaa tu.. hakuna kingine... kwa utaratibu wao huu, wasishangae kukosa kuungwa mkono na Watanzania, kwani wanajua kabisa hawa ni njaa kali tu.Daaah!! Njaa mbaya.[emoji2][emoji2][emoji119][emoji119]
Nasisitiza, mnaoendelea kuwaamini wanasiasa mjitathmini tena. Mwanasiasa akija ndani akakuambia jua limezama toka nje uhakiki kwanza. Futseke zao!
Uwenda kwa sasa wakaamini.Mbowe yuko kwenye system.
Aeleze nini kimejiri na kwanini ilikuwa siri!Hata waandishi wa habari walikuwa hawajui spika kawaitia nini!Wewe nini? Aite press ili iweje?
Hongera sana Chadema mmeonesha ukomavu wa kisiasa, msiwasikilize watu wa sampuli hii ni wafitini sana.
Acha upumbavu wako wewe ndiyo hujielewi sisi CHADEMA hatupendi unafiki Wanachadema wakila pesa za CCM tunaongea ukweli, huu upumbavu wa kufanya siasa biashara ndiyo umemfanya Lissu kuondoka mapema kwenda huko maana anamjua mwenyekiti wa CHADEMA ni mpenda pesa mbele ya pesa anaweza kufanya lolote ili mradi alinde ruzuku yakeYaani Kuishi Kwangu sijawai kuona watu wasijielewa kama Wafuasi Wa CHADEMA kama humu Jamii Forums. Hawa Jamaa
1. Ni wanafki
2.Mazumbukuku ya siasa
3.Hawajitambui
4.Hawana msimamoo
5. Hopeless human Beingi
6.Wavivu Wa kufikiri
7JITAMBUENI KWANA NDIO MUISOME SIASA HATA KWA HISTORIA
Naangalia Comment Zenuu hapa Mpka nasikia Aibu kuwa na Vijana Wa aina hii..MTAKUWA LINI MTAIELEWA SIASA LINI MTATUMIKA MPKA LINI[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] Dah
Leo Mnahitaji Serikali ya Maridhano Jana mlitaka wafadhili Wasitishe misaada na Mikopo Mtaacha lini Upumbavu nyie Wafuasi Wa CHADEMA
NAWASUBILIA KESHO MTAJIFARIJI VIP TENA NYIYI MSIJE HATA CCM NENDENI CUF HUKU NA ACT NDIO AINA YA VYAMA WA WATU WAPUUZI PUZII
Tena kile cha uchagani haswaaWewe unaweza kumbe?
Loud and clearYaani Kuishi Kwangu sijawai kuona watu wasijielewa kama Wafuasi Wa CHADEMA kama humu Jamii Forums. Hawa Jamaa
1. Ni wanafki
2.Mazumbukuku ya siasa
3.Hawajitambui
4.Hawana msimamoo
5. Hopeless human Beingi
6.Wavivu Wa kufikiri
7JITAMBUENI KWANA NDIO MUISOME SIASA HATA KWA HISTORIA
Naangalia Comment Zenuu hapa Mpka nasikia Aibu kuwa na Vijana Wa aina hii..MTAKUWA LINI MTAIELEWA SIASA LINI MTATUMIKA MPKA LINI🤣😂🤣😂🤣😂🤣 Dah
Leo Mnahitaji Serikali ya Maridhano Jana mlitaka wafadhili Wasitishe misaada na Mikopo Mtaacha lini Upumbavu nyie Wafuasi Wa CHADEMA
NAWASUBILIA KESHO MTAJIFARIJI VIP TENA NYIYI MSIJE HATA CCM NENDENI CUF HUKU NA ACT NDIO AINA YA VYAMA WA WATU WAPUUZI PUZII
Shukuru Mungu macho yako yamefunguka.Ila mkuu wakati mwingine nakuonaga kama kichaa nimegundua nilikuwa nafikiria kwa mihemuko nisamehe mkuu,
Wewe unaonaga kile ambacho wengi hawewezi kukiona kwa wakati.
Nimejifunza kitu.
Nawashangaa wanaoishangaa CHADEMA leo!
CHADEMA ya principles iliondoka na Dr. Slaa toka 2015!
Tuliposema CHADEMA imekufa wengi hawakuelewa, kufa ni process, ila turning point ilikuwa 2015 'kugeuza gia angani'
Kwa hiyo matendo, matukio na matokeo mbalimbali yaliyoendelea baada ya 2015 ndiyo kifo chenyewe, uchaguzi wa 2020 umethibitisha hilo.
- Kumkumbatia na kumsafisha 'fisadi' Lowasa, tena kwa kumpa tiketi ya Urais! Alafu BAVICHA wanaimbishwa kwamba ni bora kushirikiana na shetani ili kuingia ikulu!
- Kufumbia macho udikteta wa Mbowe kwa kutoa maamuzi yake binafsi badala ya taratibu za chama! Alafu BAVICHA wanaimbishwa kwamba. hanunuliki!
- Mtu moja kung'ang'ania uenyekiti kwa miaka 20! Chama kinachojinasibu cha demokrasia! Na kufukuza au kupelekea kujitoa wote waliothubutu kuonyesha nia ya kugombea uenyekiti wa taifa, alafu BAVICHA wanaimbishwa kwamba hao ni wasaliti!
- Ubadhirifu wa mali za chama wa mwenyekiti alafu BAVICHA wanaimbishwa kuwa huyu ni mwamba na haongeki!
- Wabunge, madiwani, viongozi wa ngazi mbalimbali kujitoa kwenye chama kwa kueleza mapungufu makubwa ya mwenyekiti! Alafu BAVICHA wanaimbishwa kwamba wamenunuliwa!
- Kubwa zaidi chama kuziacha sera zilizovuta watu Kama kupinga ubadhirifu, rushwa, kuahidi kuleta maendeleo, kujenga barabara, reli, kuimarisha usafiri wa anga, Bandari, kupeleka na kupunguza bei ya umeme kwa wananchi wengi, kuimarisha matibabu! Alafu kinageuka kuwa watetea mafisadi, watumishi wazembe, wezi na wahujumu uchumi na KUPINGA MAENDELEO eti ni MAENDELEO YA VITU! Alafu mnategemea mtachaguliwa na wananchi! Wananchi siyo wapumbavu kiasi hicho! Kwa ufupi CHADEMA imejiua yenyewe!