Aisee [emoji119]Mboye kauza chama kwa CCM njaa zimemkolea kaona atakosa ruzuku kaamua kuweka njaa mbele zaidi
Ulisema ile picha ya Lauren Hill uliyoweka kwenye avatar itakuwa ya mwishoMmmmmmmmmh! ndipo hapo mnapokosea, hamko consistent
Huu ni wakati wa kuungana na serikali iliyoko madarakani kwasababu hakuna upinzani tena ila waganga njaaUlikuwa bado hujajiunga
Na bado mnatumika kama toilet paper mnapoambiwa mara muandamane bila kutumia akili zenu.Wewe kibaraka wa Polepole tulia sisi tupo tunaendelea kuwepo lakini tumekataa ujinga wa mwenyekiti wa CHADEMA kuchukua pesa za CCM kuuza chama kisa njaa ya ruzuku.
Kipo sana tu speaker amesoma kanuni vema tu au mkamwambie Amsterdam awasaidieHii dunia kweli duara. Haya yanayoendelea katika taifa hili kuna kitu kinajitafuta.
Mimi sio mtaalum wa masuala ya sheria na uendeshaji wa Bunge. Je ni sahihi kuapisha mbunge ama wabunge nje ya vikao vya bunge?
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Ila n kumlimia ale vizur??[emoji849][emoji848]. Em fikiri Tena bhna. Wakat ukisusa shamba atakua atamaliza na hakuna atakapo kula tena na hatimae kufa na njaa?Dawa ya nyani sio kumsusia SHAMBA.
Kesi Sasa zianze ili NEC IWE HURU.
Maisha bado yanaendelea msikate tamaa.
Jana tu katoka kujimwambafai yeye na zitto kwamba hawatapeleka wabunge,nilisikia Lissu akishauri magufuli afanye maridhiano na wapinzani .... Nahisi Kuna kitu kipo calculated sasa .... hata Lissu anahusika na hii move
Akili yako inawaza wote wanasiasa sio.Kipo sana tu speaker amesoma kanuni vema tu au mkamwambie Amsterdam awasaidie
Sina chama Tena [emoji706]S
Sema msimamo wako sasa utabaki chadema au unahama huko?
Relax dogoLeo naenda kuchoma kadi yangu ya CHADEMA na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Kuna harusi, na ndoa imefungwa sokoni wakati bwana harusi hajafika...teh[emoji12]
Salary slip yuko analia tu sasa hiviSalary Slip katokomea wapi?
Sahivi hakuna kususia mambo, ni utoto na sio ukomavu, wazichukue tu hizo nafasi ili mambo mengine yaendelee
Katibu mkuu wa Chadema ndiye amepeleka majina kama sheria inavyoelekeza?
Mdude ameshapotezwa kirahisi tu..so sad.Na bado mnatumika kama toilet paper mnapoambiwa mara muandamane bila kutumia akiri zenu.
Sasa mjikusanye mchange pesa mwende mkawasaidie wale ambao wapo mahabusu nao warudi kitaa.
Mnatoa hapa michango ya kijinga kila siku mnadhani mnaweza kubadili maamuzi ya chama?
Tuliwambia hapa kuwa lazima hao wanawake waingie tu
Na hasa pale wanawake pendwa nao walikosa ubunge unadhani nani atabaki akisota miaka mitano nje?
Masilahi ya chama kwanza, ujinga wenu tupa kule.