Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari ya uzushi hiiWafia chama mna maoni gani sasa?
Ila nmefurahi, at least hata kama tulishinda ila kina Gwajima watapata sauti kinzani sasa
Unamtangazia nani sasa?Leo naenda kuchoma kadi yangu ya Chadema na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Kurukaruka kote kule ndio mmeishia hapa?MNHHHHHHH... ndipo hapo mnapokosea ,hamko consistent
Wabunge viti Maalum kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wameanza mchakato wa kusajiliwa Jijini Dodoma.
Majina yao yamewasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA
Fake newsDuh! Njaa mbaya
CCM leo mmefurahi kuliko mlivyofurahi kushindishwa ushindi wa kishindo!Waingie bungeni wasiingie mimi sijali. Kinachonichekesha ni misimamo ya wanachadema haieleweki.
Mimi sio CCM bali namsapoti JPM
Mwenyekiti wa BAWACHA Mh. Halima Mdee akiongea leo 24 November 2020 ktk video hapa chini
Esther Matiko mbunge wa Viti Maalum akijibu maswali mara baada ya kuapishwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mh. Esther Matiko ni mmoja wa wabunge 19 wa Viti Maalum kupitia chama cha CHADEMA walioweza kufika Dodoma leo tarehe 24 November 2020 kuapishwa baada ya uchaguzi Mkuu wa 28 Oktoba 2020 kukamilika.
24 November 2020 pichani :
Hii ndio taarifa iliyotufikia usiku huu, kwamba Mhamasishaji wa BAVICHA Twaha Mwaipaya na Katibu Mkuu wa Bavicha Mh Nusrat Hanje , leo wameachiwa huru na Serikali ya Tanzania , huku ikidai haina haja ya kuendelea na kesi hiyo, hii ni masaa machache kabla ya kusomwa hukumu ya maombi yao ya haki ya dhamana .
Kwani kuna wachumia ardhi?Chadema hawana tofauti na CCM kwa sasa, wote wachumia tumbo tu!
Sio gafla bwana, Tangu juzi tulishaandika hapaDaaaah,katibu mkuu aite press aeleze nini kimejiri!
Hii kitu mbona imekuwa ghafla hivi?Kuna nini kinaendelea?
Leo mataga mmefurahi sana,hamkufurahi namna hii mlivyoshindishwa ushindi wa kishindo!🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Ha ha ha ha ha
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwi kwi kwi kwi
🤣🤣🤣🤣
Mnacomment bila kuangalia kilichopostiwa. Hiyo clip aliyoweka, umeenda kuiangalia youtube?Hhhahahaha chama kipo mahututi imebidi mbowe atume wa kuwakilisha sasa