Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Msimamo uko pale pale boss, usiwe na haraka maana utaona mengi ambayo hukuyategemea.
🤣🤣
Kifaranga kinamuuliza mama yake...lini nitanyonya?
Mama anamjibu...KESHO...

KESHO
KESHO
KESHO

Hatimaye CHRISTMAS imefika....ustadh Ali kaitwa AMCHINJE....🤣🤣
 
The difference between a politician and a statesman is that a politician thinks about the next election while the statesman think about the next generation.
 
Kasome kanuni zao huko bungeni wacha kukimbila huku kujadili ujinga wako...[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
 
Mnyika MTU MBADI sanaaa....

Yaani KAMCHINJIA baharini binti MSANGI aliyekuwa mgombea wao UKONGA?!!!🤣🤣

Ni wakati wa binti NEWTON ahamie CCM tu....
 
twende mbele turudi nyuma, ili kuikabli vzr CCM kidemokrasia ni lazima nguvu ya wananchi ihusike...
chdema wao kama wao kuitoa madarakano CCM awawezi pasipo wananchi kushiriki....
Hebu ngoja kwanza... sisi wanainch tuitoe ccm kushirikiana na chadema alaf madarakani akae nani? CHADEMA? kweli bado unadhani chadema bado wanafaa kupewa inch hii???

CCM tumeichoka, lakin ni bora ccm kuliko chadema. Tutafanya hivyo siku kikitokea chama makini kuongoza serikali lakin sio chadema.
 
Halafu mnasema habari za GOGOKI4102 ni za uzushi ,alivyosema ndio vile vile,haya sasa Bulaya na Mdee kiko wapi? Alivyowaanika si mlimpinga? Wanasiasa bwana ni shida ndio maana kuna maandiko kwenye vitabu vya dini yanasema "Mungu hawezi kuweka agano na mwenye njaa/masikini".
 
Sisi ndio tuliwapa kura, hivyo wao wanaweza kufanya watakalo lakini support yetu wasahau.
🤣🤣

Mwenyekiti wenu AMEWAPA SAPOTI....
NA ATAENDELEA KUWAPA....

Hadharani atakuwa anajikosha tu km afanyavyo komredi Mnyika!!
 
Duuu inasikitikisha sanaa kama ni ya kweli. Kama ni hivyo hakuna chama cha siasa bongo ni muda wa kuachana na siasa za bongo nw nikutafuta pesa na kupambania maisha yko ninafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…