Huku ndani kama kumsambaratika hayo mabeberu yatamtema si muda mrefu. Stay tuned!Mbuzi jike aendelee kuingia gharama lakini Beberu anamtizama kwa mbali mpaka aone mwisho wake
Beberu aliichukia ZANU PF,kawawekea VIKWAZO...je amewaondoa?!!!Mbuzi jike aendelee kuingia gharama lakini Beberu anamtizama kwa mbali mpaka aone mwisho wake
Mbuzi jike kaamua kuivuruga chadema ili amfurahishe Beberu asiache kuleta misaadaShida ipo CCM hawana uwezo kuongoza nchi bila kupata chochote toka kwa hao wanaowaita mabeberu
🤣🤣Hahaha
Bado fake news mkuu?
E
Nakuomba mkuu uwanzishe uzi wa kutuomba msamah majilani zako kwa kelele na matusi uliyo kua unalopa.Hii ni point kubwa mno
Hakunaga kitu kama hicho angalia hata Rwanda wakimbizi wote wa kisiasa hutunzwa popote walipo hata kama chama chao kinakufa kabsaHuku ndani kama kumsambaratika hayo mabeberu yatamtema si muda mrefu. Stay tuned!
Pole sana. Tindo, salary slip, mmawia, G Sam, wote wako wanajipanga watoke vipi baada ya 'surprise' ya Mdee na wenzake!Kigogo huwa hakurupuki ...ukweli umeishi...
Ila kwa kweli nmechoka sana...sina ham na wanasiasa
Kila SIKU mnakuja na MAPYA....🤣🤣Hii ni point kubwa mno
Tatizo lake Lissu ni kutumikia mabwana wawili (I don’t mean in a vulgar way).Lisu anadai yake kama mbowe kaamua kumsaliti yeye atasonga kivyake
Mbuzi jike bado hajaomba msamaha kwa Beberu juu ya dharau za kabudi alizotoa juziNakuomba mkuu uwanzishe uzi wa kutuomba msamah majilani zako kwa kelele na matusi uliyo kua unalopa.
Mzee wa TumeCCM...PoliCCM...NeCCM ha ha ha ha leo YABISI imezama mwilini...meno KUGONGANA!!🤣Nakuomba mkuu uwanzishe uzi wa kutuomba msamah majilani zako kwa kelele na matusi uliyo kua unalopa.
Sasa mtafanyajeWalete maendeleo toka kwenye bunge la wamwaga damu na wezi wa kura?
Huyo anatunzwa na akina Amsterdam. Nenda kasome kuhusu ukimbizi wa Kambona utanielewa. Mabeberu huwa wanaangalia siasa za ndani zinaendaje kama hakuna wa kuunganisha wanakuacha unakuwa mkimbizi wa kawaida tu.Hakunaga kitu kama hicho angalia hata Rwanda wakimbizi wote wa kisiasa hutunzwa popote walipo hata kama chama chao kinakufa kabsa
Hakuna cha mabwana wawili kwani bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje Belgium? Bila wewe na NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu asingefika kwa Amsterdam, chanzo cha kila kitu ni vitendo vyako haramu vya kishamba na kishetaniTatizo lake Lissu ni kutumikia mabwana wawili (I don’t mean in a vulgar way).
Yupo busy na agenda za hakina Amsterdam bila ya kujali madhara ya sura ya chama chake mbele ya jamii; wakati akifanya selfmotives zake anaki implicate chama chake now think pengine bila ya kuwashirikisha wenzake katika mikakati yake.
Mbowe and company have a duty to build public support, yeye yupo busy akishirikiana na wazushi wa Twitter kukisogeza chama mbali na wapiga kura, akitegemea nguvu ya mabeberu.
Wakujilaumu ni Lissu mwenyewe for pursuing his selfish motives, badala ya kukaa na wenzake kuangalia wanajipanga vipi.
Mbowe has put him in his place, the message is clear.
.....wewe?!!Bora kuwa mpagani wa siasa kuishi bila utikadi bila chama angalau utaishi kwa Amani moyoni kuliko kuwekeza Akili kwenye vyama vya siasa
Mbuzi jike juzi kamtuma kabudi awasimange Beberu na kabudi bado hajaomba msamahaHuyo anatunzwa na akina Amsterdam. Nenda kasome kuhusu ukimbizi wa Kambona utanielewa. Mabeberu huwa wanaangalia siasa za ndani zinaendaje kama hakuna wa kuunganisha wanakuacha unakuwa mkimbizi wa kawaida tu.
Sasa mtafanyaje