Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Well then kama aliamua kwenda na mtindo wake akitarajia akitumie chama kwa maslahi yake wamemshtukia.Hakuna cha mabwana wawili kwani bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje Belgium? Bila wewe na NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu asingefika kwa Amsterdam, chanzo cha kila kitu ni vitendo vyako haramu vya kishamba na kishetani
Wao wanaendelea kivyao na yeye ajazuiwa the message is simple CDM aitaki tena kuwa implicated na watu wanaomtumia Lissu; that’s just my view.
The timing of it all is just humiliating to Lissu.