stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Huyo LOWASA yupo wapi?
Ndo maana nakwambia mpaka CCM watibuane, wakishaanza kua kwenye makundi hapo ndo upinzani utahema for example kipindi cha mpasuko Kikwete Lowasa akaenda upinzani, hapo ndo CHADEMA ilipumua ila other wise endeleeni tu kuvunjika kwa ajili ya ajira za watu