Huyo LOWASA yupo wapi?
Nimesononeka sana. Kweli mwanamke ndio chanzo cha kuvurugika yote na hii ni tangu kuumbwa kwa duniaDada wa uhuru,haki na maendeleo ya watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wabongo wote ni wanafiki,,
Mimi Ndiyo maana nashindwa kuwasapoti kwa sababu hawaeleweki.Nimesononeka sana. Kweli mwanamke ndio chanzo cha kuvurugika yote na hii ni tangu kuumbwa kwa dunia
Shida tabia haijabandikwa usoni. Unakua unamsupport mtu kumbe rohoni anakuzomea.Mimi Ndiyo maana nashindwa kuwasapoti kwa sababu hawaeleweki.
Nilisema nitakuja kushabikia upinzani Tanzania pale tu watakapojitambua ila si hawa wapinzani maandalizi..tukiwaponda tunaoneana wabaya.
Mbona wanaonekana tuShida tabia haijabandikwa usoni. Unakua unamsupport mtu kumbe rohoni anakuzomea
Kumbe unazijua halafu umekuja kujibu ujinga na kujadili. Hongera mjinga kiranja.Kasome kanuni zao huko bungeni wacha kukimbila huku kujadili ujinga wako...[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Mkuu sahihi kabisa sina uhakika kama chama kilikosa wenye hekima wa kuwashauri mapema ama walipuuza kwa maslahi yao.Mkui Battor, Huenda imani yangu na yako ilikuwa sawa, kuondoka kwa Dr Slaa chadema niliumia sana. Edward lowassa sikuwahi kumkubali. Na hapa ndipo watu wengi tulijua agenda ya ufisadi imekufa rasmi. Chama ndipo kilipofia madhara yake ndio haya mpaka sasa madiwani na wabunge kujiuzulu na sasa utazuka mgogoro baina ya Mbowe na chama.
Haiwezekani Mwenyekiti Mbowe asijue hii scenerio ya akina Halima.
Chama changu nilikipenda sana lakni mwenzi wa Saba nilijiunha rasmi ccm.
Saivi siamini tena mwanasiasa tena. Nitabaki kua mpendea mtazamaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona wanaonekana tu
Wanasiasa wote ni wachumia tumbo dada yangu,wewe unaumiza kichwa Mara ulipuliwe na mabomu wenzio wanatafuta kushibisha matumbo..ajira hiyo.
Tofauti ya CCM na CDM ni kwamba mmoja ameshika dola mwingine hajashika
Ila nje na hapo ni walewale tu.
Nyie endeleeni kuwaamini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi naonaga tu mnavyohangaika nao humu[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ah wacha bwana dada wa info[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]Saivi siamini tena mwanasiasa tena. Nitabaki kua mpendea mtazamaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chama kiliheshimika na Kada mbalimbali za kijamii kwa uchache...Kanisa, Waalimu Ngos, wazee nk. Lakini Mbowe na washirika wake wachache Lowassa akawaingiza kingi hoja ya ufisadi ikafa sera ya maendeleo kwa watanzania nayo ikafa.Mkuu sahihi kabisa sina uhakika kama chama kilikosa wenye hekima wa kuwashauri mapema ama walipuuza kwa maslahi yao.
Mnawaonea bure hao wanawake.never ever trust a woman ktk vita.........imekwisha hiyoooo.....
Achana kabisa na mtu mwenye imani kwa mtu/kitu fulani [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mi naonaga tu mnavyohangaika nao humu[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ah wacha bwana dada wa info[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Akina mbowe tu walimchukua Lowasa wakamsafisha,hilo tu lilitosha kuwaonyesha walivyo.
Lakini watu hamuoni[emoji1787]