Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Kina Mdee wanapigwa,kuvunjwa miguu, kulala segerea 'wanaibiwa kura' wakiomba wafuasi wao wawasupport maandamano wanaishia kupost mitandaoni. They have families to feed too na siasa ndio inawapa tonge. Wanahaki ya kujongea mjengoni.
 
Diehard, exremely oppurtunistic, wouldn’t care a hoot about your opinion,feminist, stingy ( of course a Pare!), would go against the grain for personal gain.
That Halima, and she has proven it.

Interesting to see the reaction of TL and his team
 
Msaliti mkubwa yule
 
Tatizo mmewekeza sana akili yenu katika kuandamana.Kuandamana kunaendana na uharibifu wa mali za watu wengine wasioandamana.Badilikeni watanzania hiyo ni mikakati iliyoletwa na wazungu kutugawa na kueneza chuki.
 
Mamaee Sasa Lissu sijui yuko wapi

Hawa ndio wanawake wa shoka[emoji23] Na mkiwafukuza wanahamia Chama Dola.
Hawa fukuza wote kwani wakihamia CCM kuna shida gani si wanajitokeza wengine, CDM msipofukuza hawa hicho kitakuwa sio chama taasisi ila kundi la wahuni kila mtu kambale, lazima CDM waje watoe msimamo tena Mbowe ndio aongee maana huyu nae hachelewi kufanya biashara
 
Sahihi Mkuu yaani huu ndio ulikuwa mwanzo wa chama kufa maana wenye kuona mbali, mapema tuliliona hili huwezi amin Mkuu baada ya hili jambo nilibadili mtazamo wangu kabisaa sikuwa na amin tena hawa jamaa hata kidogo.

Na jambo la kufurahisha zaidi Magu akaingia kutekeleza kile upinzani ulichokitaka kifanyike sasa hilo nalo likapima ukomavu wa chama , badala ya upinzani kukosoa na kuwa na sera zinazoeleweka ila wao wakawa wanapinga kila kitu. Yaani kama ni mtanzania na huna interest na upande wowote wa chama ukipima utapata majibu mapema sana kwamba hawa jamaa inawapasa kujitafakari sana.
 
Ila Chadema hii ndio demokrasia kweli ,kwani haina wanawake wengine zaidi ya hao hao wa kila mwaka? Chadema badilikeni bana huu ni udikteta uchwara, tulitarajia sehemu kubwa ya walioteuliwa ni wabunge vijana wapya na naamini wapo wenye uwezo zaidi huku mikoani.Na kwa wale mliokuwa mnamkejeli yule dada mbunge wa Nkasi sasa kiko wapi,ONENI HAYA
 
Hakuna siasa Tanzania.
Narudia Tena. Hakuna siasa Tanzania [emoji849][emoji706][emoji706][emoji706][emoji57]
Siasa ipo sema hakuna chama cha upinzani Tanzania,wote ni wachumia tumbo hah hah chezea mjengoni wewe
 
Kama ni kweli kuanzia leo hata sijui nisemeje, ngoja kwanza nidhibitishe taarifa
 
Kuna dalili zote Mkuu ulikuwa mfuasi wa Antipasu na si mwanachama halali Chadema. Mwanachadema halali anafikiria mapana ya kuimarisha nchi ya Tanzania achana na wale waliotunga Ilani ya uchaguzi ya mwaka huu!
Nimekua mwanachama wa Chadema since 2009 nikiwa kijana mdogo, kwa kiwango kikubwa sana nimeshiriki kuwenye mchakato wa M4C mpaka uzinduzi tulifanyia pale Serena Hotel na Mbowe akiwa mgeni rasmi.

Vikao tulikua tukifanyia nyumbani kwa marehemu Ndesamburo pale jirani na round about ya Kawe, hivyo nimekua mwanachama hai na muaminifu wa Chadema kwa kipindi kirefu tu.
 
Nenda kaichome TU MKUU....kwani NI yako....ila KWANGU NITABAKI KUWA MWANACHAMA MTIIFU WA CHADEMA,MAANA TOKA BOB MAKANI,MPAKA LEO MNYIKA CDM IKO MOYONI KWANGU....MILIMA NA MABONDE TULOPITIA HILI SI KITU...CDM FOR LIFE
Halima kanikatisha tamaa sana, tumempigania Makongo mno na hivi ndivyo anavyotulipa?
 
Kina Mdee wanapigwa,kuvunjwa miguu, kulala segerea 'wanaibiwa kura' wakiomba wafuasi wao wawasupport maandamano wanaishia kupost mitandaoni. They have families to feed too na siasa ndio inawapa tonge. Wanahaki ya kujongea mjengoni.
yote hayo wanafanya kwa maslahi ya nani? kuna mtu aliwatuma? tunakolekea watu wataacha kupiga kura
 
Kumbe watu wa namna hii tupo wengi, nilifikiri ni mm pekee.
 
Nimechungulia youtube waqt wanaapishwa pana vyombo khaswaaa tafadhalini mtu asini quote (koti)huu ni mtazamo wangu nje ya mada naomba uheshimiwe
 
Shikamoo Halima James Mdee.

We Mama ni Bingwa wa Demokrasia na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi wa CHADEMA Ambao wamekutukana mtandaoni usiku mzima.

Binafsi nilisikiliza hotuba yako fupi kiukweli ime exhaust kila kitu na ni mfano wa Akina Dada Shupavu in modern times politics.

Nakutakia Majukumu Mema katika nafasi yako ya Ubunge wa JMT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…