Kaka mapenzi ya pesa ndio nilisha yakataa , ndio maana still nipo single .Na ubakhili wako utaweza kwel kumiliki chuma hiyoππ
Hakuwepo kwenye kikao cha mwisho huyo π π
Utakuwa single milele mangi ujueππKaka mapenzi ya pesa ndio nilisha yakataa , ndio maana still nipo single .
πKuna muda Huwa unatupiga porojoKwahiyo kpnz siku zote huwa naropokaππ
Ex harudiwi ila analiwa pesa π π π π π πHata mimi sikuwepo
Mlikubalianaje kuhusu misimamo? π
Etugrul BeyEx harudiwi ila analiwa pesa π π π π π π
Hapo penye kuliwa pesa yake ndio unageuka kuwa kitoeoEx harudiwi ila analiwa pesa π π π π π π
π π π πHapo penye kuliwa pesa yake ndio unageuka kuwa kitoeo