Hatimaye wanafunzi wote wa UDOM kitivo cha sayansi na jamii wamerudishwa nyumbani

Hatimaye wanafunzi wote wa UDOM kitivo cha sayansi na jamii wamerudishwa nyumbani

poleni sana nduguzzangu!tuponyuma yenu kwa kila jambo,mungu atasaidia!"the governiment is digging the grave of its own destruction".wasuburi 2015.
 
Du fuatilia zaidi si kwa ajili ya posho ya Field, jana mbona mambo yaliisha? nilichosikia ni wale 70 waliokamatwa na kupewa dhamana pamoja na Baraza lote la viongozi wa Chuo walifukuzwa, sasa kama wenzenu waliowatetea wanaondoka na suala lenu halijaisha ni lini mtajipanga na kudai maslahi ambayo yanatakiwa yawe yameshalipwa kabla ya mitihani j3?
Hebu fuatilieni zaidi kwani hao watoto kwa sasa tunao mitaani, wapo waliofuata mkumbo na wapo waliodai haki ya posho za kweli
 
Hivi karibuni Nape si alikuwa hapo chuoni akikagua matatizo mbali mbali, tatizo hili hakuliona? Hizi siasa za kuiiga CDM sijui zitawafkisha wapi?
Usishangae ndugu, Nape alienda kukagua vyoo.
 
CCM na makunguru wenzao wanahangaika sana, wanaishia kuprove wrong, WALIMTUMA NAPE, nasikia mayanki wale wakaishia kumtukana kimya kimya !
 
mmeigeuka ccm na sasa mnakiona cha moto, bora msingeweka makucha yenu wazi mngejifanya ccm ila kwenye sanduku la kura mnaitoa
 
wewe ni mwehu kwani unaongea tu bila kuwa na ushaidi wa kutosha kuthibitisha kauli yako
 
Hayo ndio madhara yakufuata mawazo ya watu wa MAGWANDA, chuo kimefungwa, hela hamna sasa hapo sijui mtaishije . Ngoja mie nitafute msichana mrembo wa kuwa nae leo kwani najua hivi sasa wanapatikana kwa bei cheap
maji2 mengne bwana,yan wenzio 2nadiscuss ishu za maana hapa,we unawaza kufanya uzinzi 2.
 
Hivi kunanini pale dodoma si wapewe haki yao au sababu walileta fujo bungeni siku ile ya marekebisho ya katiba si unajua tena wale wenzetu wazeee wa posho walivyokua na kisasi warudisheni darasani watoto!!!
 
Hiyo ndo serikali ya ccm inayo wafukuza wanafunzi wanaodai sehemu yao ya masomo ili kukamilisha shahada yao. Bila field kweli utafanya nini kazini. Miaka 3 unasoma theory tu hii sio haki kitaaluma jamani.
 
Tatizo si kutoiunga ccm mkono kwan mambo ya elimu ni faida kwa umma bali ni upeo mdogo wa kufikili wa waliowafukuza hao wanafunzi.
 
Kiongozi yeyote yule mwenye akili timamu hazez kuwafukuza watu wanaodai sehemu ya majukumu yao.wanafunzi wa udom walikuwa wanadai masomo kwa njia ya vitendo. "wakuu cheo dhamana"
 
Migomo yote niliyowahi kugoma victim nilikuwa mimi, hivi hakuna njia nyingine mbadala. Poleni sana najua kifuatacho ni kuanza kusikiriza redio na kuangalia Tv mkisubili tarehe ya kurudi chuo, mpate bahati wasiseme kuna deni fulani tunawadai mnaotaka kurudi mpaka mlipe,
Poleni sana ambao hamna ubarozi hapo Dodoma
 
Nimesema na nimeandika tuna wakoloni weusi nchi hii, tukitaka uhuru wa kweli lazima na wao waondoke, wanawafukuza wasomi coz wanajua wakienda field watakuwa fit na watakuja kuhoji mambo mbali mbali yahusuyo taifa ikiwemo kuondolewa kwa posho zao,nyie wakoloni weusi CCM mliopo nchi hii kaeni chonjo kwani hamjui siku wala saa ambayo nguvu ya UMMA itakapokuja. Kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho huu ndio mwanzo wa mwisho wenu kama hamfahamu
 
Hivi kunanini pale dodoma si wapewe haki yao au sababu walileta fujo bungeni siku ile ya marekebisho ya katiba si unajua tena wale wenzetu wazeee wa posho walivyokua na kisasi warudisheni darasani watoto!!!
Zito alipowambia serikali haina hela wapenda sisiemu wakaja juu na kusema ni mwongo. Kama mishahara ya watumishi wanakopa kwenye taasisi zingine, za kuwapa wanafunzi watazikopa wapi.
Tanzania tunajikaanga kwa ujinga wetu. Tusipokubali kuthobutu, tutaendelea kuumia vizazi hata vizazi na hatima yake ni mbaya zaidi kwani kuna kizazi ambacho hakitakubali upuuzi wa kila siku.
 
Nimesema na nimeandika tuna wakoloni weusi nchi hii, tukitaka uhuru wa kweli lazima na wao waondoke, wanawafukuza wasomi coz wanajua wakienda field watakuwa fit na watakuja kuhoji mambo mbali mbali yahusuyo taifa ikiwemo kuondolewa kwa posho zao,nyie wakoloni weusi CCM mliopo nchi hii kaeni chonjo kwani hamjui siku wala saa ambayo nguvu ya UMMA itakapokuja. Kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho huu ndio mwanzo wa mwisho wenu kama hamfahamu
Tatizo vichwa vya waTZ haviwezi kuchanganua mambo. Wanaogopa kudai kilicho chao. Mkuu tuhamasishane kama wana-Mwanza na kwingiineko walivyoshikamana kujaribu kuung'oa ukoloni wa ndani kwa ndani.
 
poleni sana vijana hiyo ndiyo serikali makini ya JK inayowajali wananchi wake, haina jipya zaidi ya kutengeneza mazingira ya kuuza nchi yetu kwa wageni.
 
Tatizo lao walitakiwa wachanganye zao na za Mh. Lema kabla haajafanya decision.. sasa ona Lema alivyowaponza yeye anakula kuku kwa mrija. taarifa za juu kwa zinasema jamaa wamewachoka na mtakaa nyumbani mwaka mzima
 
Imeshazoeleka hiyooo
ndo alternative pekee waliyonayo serikalini kupitia wakuu wa vyuo
few days akili zikiwarudi watawarudisha tu
 
Back
Top Bottom